Hayo ni maoni yako, yanaheshimiwa kama yalivyo maoni ya watu wengine. Ushauri wa bure ni kwamba jitoe kwenye JF iwapo unaona ina watu wenye cheap mind. Itashangaza upo kwenye media moja na watu wenye cheap mind na unatoa mawazo yako kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh. Rais Magufuli namuomba atembelee Mamlaka ya Usimamizi wa shughuli za Bima kwa kiingereza Tanzania Insurance Regulatory Authority aone mkurugenzi mkuu aliyemteua anavyofanza teuzi ndani ya ofisi kwa misingi ya kidini.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.