Aisee hichi kitu nimekutana nacho kimeniuma sana, Sijui huyo anaeishauri serikali kwenye ukusanyaji wa mapato sio mtanzania?? Imagine mtu naenda hospital naumwa hoi, naingia natibiwa na ninalipa BILLS zote, alafu niende tena nilipie na packing dahh..[emoji3064][emoji3064]
HAIJAKAA SAWA HATA...
Baada ya serikali kupiga marufuku wafanya biashara kupandisha bei ya sukari (4000tsh had 4500tsh), na badala yake bei elekezi ya 2800-3000 ifuatwe;
Mtaani kwetu Ubungo Kisiwani (External)bado bei hazijashuka hadi sasa, naomba kujua ni hatua gan serikali inachukua ili kuhakikisha pale bei...
cm yangu ni aina ya startimes model p40 nahitaj kubadilisha hii version ya operating system niweke version nyingine ntafanyaje?
Fredy nipo dar 0759959643
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.