Kama heading iliovyotangulia naona ushindi mkubwa sana katika uchaguzi huo,DHIDI YA VYAMA PINZANI TZ na sababu kubwa ni kwamba;
1. CCM inahazina kubwa ya washabiki lukuki wasomi,wataalamu wa siasa 'wazee,vijana wa kati wenye ajira za kudumu na wachache wasio na ajira rasmi...
CCM LAZIMA ISHINDE VITI kibao vha udiwani ,ubunge na hatimae kuingia magogoni ndung john pombe
tumejiaanda miaka 10 kwa jambo hilo na ni jadi yetu.
ukawa week mbili mnataka ikulu labda ya monduli...wajanja walishasepa hawataki aibu
dr slaa
prof lipumba
#tukutane october
wakati tukijiandaa kwa uchaguzi mkuu TZ, huku migawanyiko na utengano ndani ya vyama vya siasa ikishika kasi kwa kasi ya ajabu tuache projo za mitandaoni na tuache kupigana vijembe bali tutunze shahada zetu za kupiga kura kumpata KIONGOZI BORA na sio USHABIKI WA KISIASA
TUNAJENGA NCHI MOJA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.