Inawezekana namba za simu kwa mantiki huenda mtu anamiliki namba za mitandao tofauti lkn namba ya simu inamaanisha ni ya mtandao moja tu.kwa uelewa wangu.
Ni sahihi kabisa kuzifuatilia teuzi za CCM wateuliwa wana background.Ni wenzao utakuta huyu alikuwa akauti,uvcc,uwt,tapa nk.vinginevyo si rahisi mteule.ni kurithishana tu nyie akina pangu pakavu ni kutulia tu.
Even in Tanzania many drugs are been smuggled from msd and sold in black markets.have you ever asked yourself why if you go to govt hospitals some drugs are not available.
Kuna baba ambaye anakubali mamlaka yake yapokwe na watoto .siyo wajinga wanajua katiba itawaachia uchi ndo maana hawataki kusikia jitu linaloitwa katiba
Tena ni bora usiongelee swala la pesa.To be honestly CCM wanaongoza kwa kutakatisha pesa pamoja na rushwa sema tu wao hakuna wa kuwahoji sababu dola wanayo.siku mambo yanaenda tofauti na katiba ikabadiliahwa kuna watu watahama nchi hakika.kuna Madudu mengi sana yanafanywa na chama tawala ambayo...
Anza na masters halafu baadae soma hiyo CPA.shida ya CPA mtu inaweza kufanya miaka hata sita bila kuipata hivyo itakuchelewesha wewe gonga masters yake halafu CPA soma kama hobi
Wewe ni kada wa chama ndo maana unapinga kila zuri ili muendelee kutuibia.ardhi ni mali ya serikali siyo rais na serikali ni nani.je rais akitaka kuchukua ardhi yoyote ile nani atamzika?Marc na mada hata mimi sioni kazi yao so ni budi wakiwepo.naumgana na wewe kwenye swala la uraia pacha tu.rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.