Recent content by feti

  1. F

    JamiiForums Tanzania Dkt. Ayub Rioba: Tumefikia hatua aliyechaguliwa kwa mujibu wa sheria watu wanamwita kiongozi haramu

    Labda tupate tafsiri ya kitu haramu halafu tuendelee kuchangia
  2. F

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa lugha ya Kiswahili naomba mnisaidie katika hili 👇.

    Inawezekana namba za simu kwa mantiki huenda mtu anamiliki namba za mitandao tofauti lkn namba ya simu inamaanisha ni ya mtandao moja tu.kwa uelewa wangu.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Mara ya kwanza kabisa Ali Hassan Mwinyi alivyokutana na Mwl. J. K. Nyerere ana kwa ana

    Ni sahihi kabisa kuzifuatilia teuzi za CCM wateuliwa wana background.Ni wenzao utakuta huyu alikuwa akauti,uvcc,uwt,tapa nk.vinginevyo si rahisi mteule.ni kurithishana tu nyie akina pangu pakavu ni kutulia tu.
  4. F

    JamiiForums Tanzania Hoja za Lema zinafichua mengi nyuma ya pazia ndani ya CHADEMA

    Hoja yako ni nini kama unaunga mkono mchango si ukae kinywa.
  5. F

    JamiiForums Tanzania Botswana Probes Missing Medicines Amid Claims Drugs Are Being Sold in Zimbabwe

    Even in Tanzania many drugs are been smuggled from msd and sold in black markets.have you ever asked yourself why if you go to govt hospitals some drugs are not available.
  6. F

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya inakwama wapi? Hata biblia ina agano jipya, Katika tafakuri mfumo(systm thnkng), Rais na Serikali wanastahili pongezi wakifanikisha hili

    Kuna baba ambaye anakubali mamlaka yake yapokwe na watoto .siyo wajinga wanajua katiba itawaachia uchi ndo maana hawataki kusikia jitu linaloitwa katiba
  7. F

    JamiiForums Tanzania Ayub Rioba: Niliambiwa CHADEMA waliamua wenyewe kususia TBC

    Mm sikumbuki mara ya mwisho kuangalia TBC ilikuwa lini
  8. F

    JamiiForums Tanzania Hoja za Lema zinafichua mengi nyuma ya pazia ndani ya CHADEMA

    Tena ni bora usiongelee swala la pesa.To be honestly CCM wanaongoza kwa kutakatisha pesa pamoja na rushwa sema tu wao hakuna wa kuwahoji sababu dola wanayo.siku mambo yanaenda tofauti na katiba ikabadiliahwa kuna watu watahama nchi hakika.kuna Madudu mengi sana yanafanywa na chama tawala ambayo...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Wahadhiri wa vyuo vikuu wangekuwa na umoja wangeitisha mgomo Tanzania nzima. Haiwezekani kufundisha juu ya haki ya kuandamana iwe ni ugaidi

    Ingekuwa kenya sawa lkn wafadhili wa Tanzania ni kama mbuzi tu wanaswagwa kupelekea kokote tu
  10. F

    JamiiForums Tanzania Wasiha ndiyo tabaka la wachaga lenye mabinti warembo sana.

    Hao wanapenda sana hela ukiwaoa ujue umekwisha
  11. F

    JamiiForums Tanzania Ushauri, nisome CPA au masters ya education?

    Anza na masters halafu baadae soma hiyo CPA.shida ya CPA mtu inaweza kufanya miaka hata sita bila kuipata hivyo itakuchelewesha wewe gonga masters yake halafu CPA soma kama hobi
  12. F

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Rais Samia ni balaa. Aondoka uwanjani kimyakimya kwa mwendo wa kikomandoo bila kuzungumza neno lolote

    Ukiona inalindwa sana ujue wewe si kipenzi cha watu.mtu wa watu hupendwa na rais wake so haina haja ya kuwa na ulinzi mkali.tujifunze kwa mwl.
  13. F

    JamiiForums Tanzania Ni mambo gani ungependa yazingatiwe katika Katiba Mpya?

    Wewe ni kada wa chama ndo maana unapinga kila zuri ili muendelee kutuibia.ardhi ni mali ya serikali siyo rais na serikali ni nani.je rais akitaka kuchukua ardhi yoyote ile nani atamzika?Marc na mada hata mimi sioni kazi yao so ni budi wakiwepo.naumgana na wewe kwenye swala la uraia pacha tu.rais...
Back
Top Bottom