Mahindi mengi tz yananunuliwa na wafanyabiashara wa wadogo na wa kati.najua wengi humu hawajashika jembe wala kupitia lazima hii ya kilimo.maghala ya nfra yameanza kujengwa vijijini juzi tu kabla ya hapo mnajua nani alikuwa akienda kununua mahindi hayo vijijini?mkisema serikali ndo mnunuzi...
Kwani shida ni nini!kuahirisha mkutano kwangu mimi si tatizo.swala kwamba fedha zimetumika vibaya nayo siyo hoja.fedha hazijatumika bali kikao kimeahirishwa till further notice .anayetakiwa kujustify kama fedha imetumika vibaya ni msajiri wa vyama sababu vyama vyote huwa vinakaguliwa japo hakuna...
Kenya ni adui namba kibiashara Afrika mashariki na kati.kenya si jirani mwema hata kidogo wanawachukulia sana watz.mahindi wamejazana hapa ruvuma kilo ni 370 tshs wao wanaturuka wanaenda zambia!sisi watu weusi roho zetu nyeusi kama tulivyo.
Mpambanieni mtakuja kulia nusu ya wabunge watafyekwa kama nyasi.2030 siyo rahisi ndo maana ameanza timua timua.hali si shwari huku uraiani.watu tumepigika na maisha,biashara kila kukicha zinafungwa wewe unaleta mzaha.tuombe Mungu tukutane 2030.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.