Recent content by femus

  1. F

    Sarafu ya miaka 1000 iliyopita kutoka Tanzania yapatikana Australia

    Kwahiyo ukristo ndo umeleta sheria za kuchinjana ili kuridhi pepo!! Kukatana mikono!!
  2. F

    Ujenzi/upanuzi wa njia nane Kimara-Kibaha una walakini

    Kwa ule upana Wa Barbara ya kimara posta ni gari moja ila inapeleka gari mbili!! Na kurudisha gari mbili na upana Wa kimara to kibaha wewe unaona ni Wa gar mbili ila ni Wa gari tatu !!! Kwenda na kurudi!! Subir uone acha watu wapige kazi hapa kazi tu!!!!
  3. F

    Ujenzi/upanuzi wa njia nane Kimara-Kibaha una walakini

    Hahaha!! Akahamie Tokyo ama emirate huko..hi ni bongo mambo Mengi mda mchache....
  4. F

    Ujenzi/upanuzi wa njia nane Kimara-Kibaha una walakini

    Unatumika wewe!! Na wenyechuki na jiwe na chama chetu...pendwa!!!
  5. F

    Zanzibar: Maduka ya kuuza vileo, Migahawa na Bar kufungwa katika kipindi cha mfungo wa ramadhani wakati wa mchana

    Imani ni kitu kisicho onekana ila una amini kipo! Wewe sema heshimu mafundisho au matakwa ya dini za watu si imani!!!_
  6. F

    Ufalme Uingereza : Ubaguzi kuhusu mtoto Archie Harrison Mountbatten-Windsor.

    Umeshawahi kuona miss Mweusi kutoka India? Au Uarabuni? Iweje wewe udai hapa tz hicho kitu!!!
  7. F

    Hivi ndivyo "Operation desert storm phase ii", iliyoongozwa na Marekani ilivyotamatisha utawala wa Saddam Hussein wa Iraq

    Iraq haijawahi kutawalika kidemekrasia tawala zote zilizopita pale ni za mkono Wa CHUMA kama sadamu zinadumu kwa muda flani iv bidae zinaanza chokochoko huyuu mshia anatubagua wasuni!!! Wakurdi nao wataanza huyuu anatubagua!!! Kila pande itabeba silaha Sunni watasapotiwa na saudi!!!! Shia...
  8. F

    Hivi ndivyo "Operation desert storm phase ii", iliyoongozwa na Marekani ilivyotamatisha utawala wa Saddam Hussein wa Iraq

    Wakurd mkuu lilikuwa in taifa kubwa!! Miaka ya zamani kdgoo wakati mwingereza ana pambana kuondoa utawala Wa Othman waturuki alishindwa sana ktk vita walikuwa wapo mbele sana kiama endeleo alikuwa anapata wakat mgumu sana kupita ktk maeneo yao alicho amua no kugawanya nchi yao kipande...
  9. F

    Hivi ndivyo "Operation desert storm phase ii", iliyoongozwa na Marekani ilivyotamatisha utawala wa Saddam Hussein wa Iraq

    Hakuna nchi ya kiislamu iliyovurugwa wewe acha povuu lisilo na akili kila mtawala anae ibuka mashariki ya kati lazma akawalambe miguu mabeberu ma magharib waje kumweka nao wanakubali kwa kuwa wanataka Mafuta wakimchoka au akienda tofauti na wao! Anatafutwa mwingine apo apo kumpindua kwa akili za...
  10. F

    Hivi ndivyo "Operation desert storm phase ii", iliyoongozwa na Marekani ilivyotamatisha utawala wa Saddam Hussein wa Iraq

    Hizo nchi zako za kiislamu viongozi wake ni wanafiki wakubwa samahani kwa kusema hvyoo!! Wengi wao wamesimikwa mamlakani na mataifa ya magharib anzia saudia, jordani, kuweit,misri,emirate,nawapo mamlakani kwa kwa kupewa sapoti kubwa sana na mabeberu Wa magharib wanapoenda kinyume wanatolewa na...
  11. F

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Pamoja sana mkuu!!! kuna mstari kwenye Bible unasema maneno haya yasitoke kinywani mwako Bali yatafakar mchana na usiku...sikumbiki vzru ni kitabu gani but ninachotaka kusema ni iv chochote unachokipa nafasi akilini mwako utaona matunda yake iwe ni meditation ya neno la Mungu au meditation...
  12. F

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Imani huja kwa kusikia na kuelewa neno la Mungu.... Sent using Jamii Forums mobile app
  13. F

    Ukichaa ni nafsi au akili?

    Mkuu kipofu anaota audio si video!! Sent using Jamii Forums mobile app
  14. F

    Tangu makutano ya Ubungo yamewekwa hii Round About, foleni imepungua kiasi

    Mh acha kuongopa wewe mbongo akae nyuma ya China kwa akili hiz hiz za lipumba na kapuyaaa!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  15. F

    Tangu makutano ya Ubungo yamewekwa hii Round About, foleni imepungua kiasi

    Acha uzushi wewe pita ubungo ukute askari anaita magari kwenye ule mzunguko Wa kichana foleni kama zamani!!! Ina maana askari akiwepo watu hawapiti kinyerezi na mbezi!!! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom