Recent content by femme

  1. F

    'Wapiganaji' walioko CCM wanapigania nini hasa?

    Mwanakijiji! Hao ni makamanda wapiganaji wanaopigania mali yao ya UFISADI isitoke ndani ya chama. 40 years ya CCM hakuna mabadiliko sasa ni nini hii kama si uozo? Watu ni walewale kila siku tena na kutuongezea vizazi vyao ndani ya Chama na uongozi. Ndoa, ushemeji, ukwe, uwifi, ubibi na ubabu...
  2. F

    Kanumba ndani ya Big Brother House 2009

    Guys, kanumba alikuwa mgeni ndani ya BBA for 24 hrs i think. Na kwa mujibu wa udaku kaka kala shavu la kuingia BBA kiushkaji, nilisikia ana rafiki yake pande flani hivi za channel ya uchaguzi wa nani aende kama mgeni ndani ya nyumba....anyway, haijalishi kaka kala shavu japo ngeli hajui exposure...
  3. F

    Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

    Kwa mtindo huu bado kabisa ajali haziwezi kuisha nenda SUMATRA sasa hivi utakuta vishoka wamejaa pale kibao wanasubiri wateja wa kuwakatia leseni za faster faster, unatoa kitu kidogo unapata vehicle inspection report hapo hapo bila hata gari kukaguliwa. je tutafika? bado wazee wa "TIGO" nayo...
Back
Top Bottom