Wakuu, naomba kama kuna mtu anauza device za kutafisiri lugha. Mfano uko kwenye mkutano ujeruman wakiongea kijerumani wewe unakuwa unasikia kwa English.
Kwa yeyote anaeuza tuwasiliane.
Acha ufara wewe apa anaongea uhalisia siyo nadharia. Wakati tunapigana na Id-amin. Ulimuona nyerere popote akiwa na siraha? Zaidi ya kusema eti uwezo tunao, nia tunayo, na sababu ya kumpiga tunayo. Lakin alikaa ikulu na kula nyama choma. Au ulikuwa hujazaliwa bwege wee
hoja ama swali la kipumbavu Hujibiwa kipumbavu vile vile. Hv kweli nyakati hizi umekaa ukawaza ukaona uandike kutushauri kwamba unaona ni bora uchaguzi usiwe huru na haki??? Ccm yenyewe inaimba uchaguz utakuwa huru na wa haki, sasa wewe ni chama gani ndugu kama siyo robot. Ndio maana ulijibiwa...
Apa Tatizo siyo la muheshimiwa raisi Samia hatakiwi kulaumiwa kwa lolote.
Kwanini? Kwa sababu hata kama ni mkuu wa nchi, hatumii watu kama machine kwa kutoa command.
Tatizo kubwa liko kwenye njaa zetu na matumbo yetu. Kama sivyo mtu kama siro, amekuwa IGP anariport kwa raisi moja kwa moja...
Huu ujumbe aliye uanzisha na wewe uliye uchangia akili zenu ziko matakoni kama nyuki siyo kichwani.
Na kwa jinsi mnavyo mdhiaki Mungu kwa kujifanya watakatifu wa kulinda amani ya nchi, wakati unakuja sasa muda utaongea ambao Mungu atashusha mapigo ya live kwa hilo taifa mnalo lidhurimu kwa...
Mkuu alisema Marekani na Ulaya katika uchumi hawafanyi kama Tanzania so uenda bila mikopo yy anaona tuta toboa.
Pili. Kuhusu kuruhusiwa chadema, ni vyema wamuachie Lisu, wafute kesi ya kuifungia chadema waliyo ifungua, waruhusu chadema ipate ruzuku....
Badae chadema wakubali kuingia kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.