Recent content by Felix

  1. F

    Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

    Mm pia siamini kama kuna mawaziri wanaweza kumtukana raisi wakiwa kwenye nafasi zao labda kama angesema MAWAZIRI walio tenguliwa. Lakini pia maoni yangu naona kama Makonda ndiye anaye sambaza kwa watu wajue kwamba raisi katukanwa. Mfano kama leo, alivyo ongea hivyo ata mimi binafsi nilikuwa...
  2. F

    Elimu juu ya ku assemble gari kama madau alivyoeleza hapo chini, nahitaji kwa ufafanuzi zaidi kwa anayejua hiyo mbinu👇

    Mkuu hivi kuweka plate namba ya gari nyingine iliyopata ajali, hv ukikamatwa na police siyo kosa kisheria kweli? ata mimi kuna jirani yangu gari yake ilikuwa namba B, gara siku hizi inasoma namba D, sijui akikamatwa itakuwaje?
  3. F

    Naomba msaada wa dawa ya panya wanaojificha kwenye gari

    Wakuu samahani kuna panya mdogo anakaa kwenye gari yangu, nikiwa nimekaa muda mrefu nimepaki nasikia akitafuna vitu nikijaribu kuangalia ananyamaza. Nikiamka asubui nakuta vikapande pande vya karatasi vilivyo tafunwa na panya kwenye buti na ata kwenye engine. Naogopa asije akatafuna nyaya...
  4. F

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Nimechelewa kusoma huzi wako, bado unahitaji ushauri au tayari umeisha pata maamuz.
  5. F

    Wanaume wa Dar ni bahili, naondoka bila zawadi

    Si wanaume wa Dar, wanaume wote siku tumegundua hivyo hatuko tayari kupigwa makombola na mabom ya Urusi
  6. F

    Kwa kichwa cha habari cha gazeti la MWANANCHI la leo Aprili 1, 2022 unajifunza na kugundua nini?

    Kuna uwezekano mkubwa Sana sheli za mafuta kujengwa ata kwenye open space na pengine kwenye mlango wa ikulu maana waliorudi wizar ya aridhi wanaimiliki
  7. F

    Ukijipanga vizuri, mwaka huu unaweza kwenda Ulaya kufurahia maisha

    Ata mm sijaelewa ingawaje hii ofa ikiwepo mwaka kesho nitaenda. Bora mtu kujiachia na kujipa rahaa mwenyewe.
  8. F

    Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

    Sasa Kama hauna hela, kwann unataka Kodi ya mwaka mzima? Yaaani mtu alipe 1,250,000 x 12 =15,000,000 mil , then ndo afungue biashara? Utasubir mtume au Yesu ashuke dunian kwa mashart hayo
  9. F

    Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

    Wanatofautiana degree za ufake. Huyu kazid
  10. F

    Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

    Utumishi wa mwamposa una maswali mengi. Yule ni fake Pastor tu
  11. F

    Watumishi matumbo joto, boss mpya Polisi yule...

    Ange anza Yeye aliyetoa hukumu ya mbowe kabla ya mahakama
  12. F

    Ushauri kuhusu mashine za EFD; Gharama za kununua mpya na matengenezo ni ghali sana, mamlaka zifuatilie

    Umefanya vizuri kumalizia kutushauri tulipe kod kwa maendeleo ya nchi yetu. Ingekuwa vizur pia ukamshauri na yule anayezitumia hizo Kodi kugawa zawadi ya birthday ya gar ya mil 400, na kudhurura nchi za watu kwa kod hizo hizo akaache. Ni hayo tu
  13. F

    Jeshi la Polisi Dodoma linamwogopa Dogo Manda? Kuna nini nyuma ya Pazia?

    Bas mkuu nime elewa kosa langu. Kumbe mtoa mada aliuliza swali. Nilikuwa amesema police wanamuogopa direct. Hapo ndo ubish ulianzi...
  14. F

    Jeshi la Polisi Dodoma linamwogopa Dogo Manda? Kuna nini nyuma ya Pazia?

    Ndugu lait Kama ungemjuwa huyo dogo Manda, kijana wa kichovu, sidhan Kama ana hela ya kuwaweka police mfukon. Anauza dizel, alifungua kiduka cha vyakula kikafirisika, alikuwa ana mrad wa kufyatua matofar siku hz kafirisika. Anaendesha kigar Cha milion moja na nusu, colora za kizaman, huyo ndo...
Back
Top Bottom