Mm pia siamini kama kuna mawaziri wanaweza kumtukana raisi wakiwa kwenye nafasi zao labda kama angesema MAWAZIRI walio tenguliwa. Lakini pia maoni yangu naona kama Makonda ndiye anaye sambaza kwa watu wajue kwamba raisi katukanwa. Mfano kama leo, alivyo ongea hivyo ata mimi binafsi nilikuwa...
Mkuu hivi kuweka plate namba ya gari nyingine iliyopata ajali, hv ukikamatwa na police siyo kosa kisheria kweli? ata mimi kuna jirani yangu gari yake ilikuwa namba B, gara siku hizi inasoma namba D, sijui akikamatwa itakuwaje?
Wakuu samahani kuna panya mdogo anakaa kwenye gari yangu, nikiwa nimekaa muda mrefu nimepaki nasikia akitafuna vitu nikijaribu kuangalia ananyamaza.
Nikiamka asubui nakuta vikapande pande vya karatasi vilivyo tafunwa na panya kwenye buti na ata kwenye engine.
Naogopa asije akatafuna nyaya...
Kuna uwezekano mkubwa Sana sheli za mafuta kujengwa ata kwenye open space na pengine kwenye mlango wa ikulu maana waliorudi wizar ya aridhi wanaimiliki
Sasa Kama hauna hela, kwann unataka Kodi ya mwaka mzima? Yaaani mtu alipe 1,250,000 x 12 =15,000,000 mil , then ndo afungue biashara? Utasubir mtume au Yesu ashuke dunian kwa mashart hayo
Umefanya vizuri kumalizia kutushauri tulipe kod kwa maendeleo ya nchi yetu. Ingekuwa vizur pia ukamshauri na yule anayezitumia hizo Kodi kugawa zawadi ya birthday ya gar ya mil 400, na kudhurura nchi za watu kwa kod hizo hizo akaache. Ni hayo tu
Ndugu lait Kama ungemjuwa huyo dogo Manda, kijana wa kichovu, sidhan Kama ana hela ya kuwaweka police mfukon. Anauza dizel, alifungua kiduka cha vyakula kikafirisika, alikuwa ana mrad wa kufyatua matofar siku hz kafirisika. Anaendesha kigar Cha milion moja na nusu, colora za kizaman, huyo ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.