Recent content by felix ole ngai

  1. F

    Kubadilisha Mawaziri Sio Suluhisho - Tatizo ni Mfumo

    tatizo ni wakurugenzi wasio kuwa na mshiko
  2. F

    chadema damu ya waandamanaji itawamaliza before 2015

    serikali yangu chini ya mhe. Dr kikwete mnaambiwa msiandamane lakini kwa vile kuna viongozi wenyewe iq ndngo kama piriton ndiyo wanasababisha raia wema kuvunja sheria.damu ya arusha,moro.songea,dar itawamaliza cdm
  3. F

    chadema damu ya waandamanaji itawamaliza before 2015

    mnaanzisha maandamano then mnakaa manyumbani kwenu
  4. F

    entry qualification ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika

    ndugu zangu nyie mtakuwa mashaidi kuwa kuna wabunge wanaropoka bungeni na nje ya bunge bila kufanya utafiti wa jambo. Wazungu wanasema no data stop talking. Mfano mbunge wa arusha mjini anasema mbunge wetu ni mkabila. Mbona chama chao ni cha ukabila ? Mbunge we2 wa arumeru magharibi piga kazi...
  5. F

    Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

    unajua huwezi kwenda kwenye vita vya bunduki na kisu au fimbo. Hapa ili 2mpate the best politician of the yr 2naangalia vi2 gani?.my self siwezi sema fulani iz the best wakati ni mropokaji kama mbunge wa arusha mjini.ila let tel u the best one is JOSEPH GUDLUCK OLE MEDEYE mbunge wa jimbo langu
  6. F

    Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

    me ni mwana ccm hawa wapinzani,kushuka kwenye gorofa wanahema je wakipanda itakuaje?
  7. F

    Udhaifu wa vyombo vya habari tanzania na uandishi na yaliyotokea kwenye operesheni tokomeza

    kuna kitu kinaitwa work boundary au territory so waandishi wa habari na vyombo vya habari hawatakiwi kutoa maana taifa la weza kudumbukia kwenye umwgaji damu.sisi 2natakiwa kulaumu watendaji wakuu wa serikali
Back
Top Bottom