Recent content by fedrom

  1. F

    JamiiForums Tanzania Nauza shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea

    lina ukubwa gani aiseee???
  2. F

    JamiiForums Tanzania Msaada: Upatikanaji wa mbegu za uyoga hasa Oyster na soko lake Mwanza

    cjawah kufanya kilimo hyo ndo natak nianze ndo maana nkahitaji hzo maelezo
  3. F

    JamiiForums Tanzania Msaada: Upatikanaji wa mbegu za uyoga hasa Oyster na soko lake Mwanza

    mekosea jaman cyo Manama ni mamama
  4. F

    JamiiForums Tanzania Msaada: Upatikanaji wa mbegu za uyoga hasa Oyster na soko lake Mwanza

    Wapendwa mi nko chato mkoani Geita nahitaji kuzalisha uyoga aina ya Manama (oyster) huku chato, kwa haraka nahisi soko lake ni mwanza maana ndiyo mji mkubwa ulio karibu nami, sasa mbegu ntapata wapi na soko kwa mwanza je nilauhakika??
  5. F

    JamiiForums Tanzania Haya mapenzi ya namna hii ni kwangu tu au?

    poleeee, na pia kam umempenda kweli bac ni jukum lako kukabiliana na hali cdhan kam ulmkubal ktk mazur tyuu pia huwez jua huenda lkawa ni mja ya majaribio yake kwake anatak kuona je ww ni mvumilv ktk kla hali flan za maisha xo kam unampenda vumilia itakwisha lkn kam ilkuw ni kwa ajl ya...
Back
Top Bottom