Kusoma kwingi nahisi ndio kumempoteza jamaa ilan nguli fulani hivi hata tuliokuwa tukiona n star wa bongo movie...swags zote waliiga kwa huyu jamaa!
Happiest birthday Nguli!
Pole sana dada yangu Jacqueline N. Mengi
Mungu hajawahi kumtupa mja wake.
Nakutakia kila la kheri katika kumtanguliza yeye mwenye nguvu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasira Hasara...
Jitahidi kuomba msamaha kwa Mungu kabla ya kikao cha kesho na tafuta namna ya kumsamehe kabisa bosi wako.
Halikadhalika hakikisha kikao hicho utaonekana uko chini ya bosi wako usimkaripie wala kumnyooshea kidole.
Bembeleza kazi yako kwa kuheshimu wenzako maana kwa...
Dah!
Hakikisha changamoto unazopitia zisiwe kiini cha kumkosea Mungu.
Nawapenda sana ninyi ndugu zangu.... Misikosee kwa sababu ya changamoto mnazopitia.
Yesu anawapenda sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante..
Ukisoma hayo maandiko utanielewa vema ni kwa nini nimetamka hivyo.
Wengi wameanza na kuhusisha kilichotokea na nguvu za giza bila kuwa na uhakika. Hiyo sio nzuri.
Lazima ndugu zangu ifike wakati tujue uelekeo wa kiroho bila kukurupuka.
Changamoto ni zetu sote, zisitufanye tukamuona...
Asante kwa sifa nzuri uliyonipatia...
Wanadamu wote tumeumbiwa changamoto na changamoto hizo sio lazima kuibiwa pensil au kujikwaa tu hata kuondokewa na ndugu jamaa na rafiki zetu wa karibu.
Nasi ni vema kwa chochote kinachotokea kwenye maisha kama changamoto ukamtukuza Yesu Kristu na sio...
Dhambi isiyo samehewa ni ya kumkashifu roho mtakatifu (Marko 3:22-30)
Ndugu zangu kwenye hili tuwe makini hasa kipindi hiki ambacho tumewapoteza wenzetu huko Moshi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dhambi isiyo samehewa ni ya kumkashifu roho mtakatifu (Marko 3:22-30)
Ndugu zangu kwenye hili tuwe makini hasa kipindi hiki ambacho tumewapoteza wenzetu huko Moshi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.