Wakati kwa Apple Africa kwao sio soko, ziko kampuni kama Transsion Holding (wamiliki wa brand ya Tecno, Itel na Infinix) wao wanazipi kupata faida na bara hili.
unaposema unajihisi sio wewe, uko sawa kabisa. it's not you! ni roho nyingine inakushawishi yote hayo unayopitia!
nakushauri ukaombewe. nenda kwa mtu unaeamini anaombea watu na wanafanikiwa.
sijajua uko wapi. kama upo dar, nenda kwa mchungaji MWAMPOSA, ukaombewe.
piaa kama kuna wazee wa...
1#
ili os itumike katika simu nyingi "it takes time". simu zinazo_run harmony os zinaongezeka kila iitwayo siku, sasa wako kwenye milioni 60, wanatarajia kufikia 300mil mwisho wa mwaka huu. pia inatarajiwa kampuni nyingi za kutengeneza simu kuanza kutengeneza simu zinazo run harmony os, hasa...
Tumia app inaitwa Google Drive. inahifadhi files online, pia unaweza weka copy offline. Siku file zikipotea una download tena app ya Drive, unakuta file zako. Pia unaweza hifadhi file yoyote kama app, picha, video, excel, pdf, program, nk.
Ahsante Hazchem plate.
Hii mashine ni ya kusuka, sio ya dukani. Pia ni ya single phase, sio three phase. Na ina njia tano ambazo ni E (Earth), 80A, 190A, 250A na 300A.
Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
Habari wana JF
Ninayo mashine ya kuchomelea vyuma (Welding mashine) naiuza 150,000/=.
Nipo Mtoni kwa Azizi Ali, na mashime ipo Mbezi ya Tegeta Dar es salaam.
Nipigie 0719 785 546
Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.