huoni kama umeandika ujinga..... we umeyajulia wapi...ina maana wewe unaijua mashariki ya kati kuliko raia wenyewe wa mashariki ya kati....na unaelezea upuuzi wako kwa confidence kabisa ...wakati unweza kuta hata kenya tu hapo jirani hujawah fika
jipige kifuani useme roho ya kimaskini itoke....kweli hiyo ni pesa ya kuanzisha uzi...inatakiwa waongeze mpaka iwe 1000....tatizo ni kama usafi haufanyiki....
we ni mjinga mkuu.......
https://telegrafi.com/en/Trump-appreciates-the-incredible-culture-of-Islam-as-he-takes-off-his-shoes-and-makes-a-rare-presidential-visit-to-a-mosque-in-Abu-Dhabi/
mkuu hapa umedanganya ...standard ya uislam haibadiliki...hamna mtu anyeruhusiwa kukanyaga eneo la kufanyia ibada akiwa na viatu...angalia video kuanzia sekunde 0 mpaka dk 1.00 hawajavaa viatu wote...kuanzia dk 1.21 wote wamevaa viatu...means hapo eneo ambalo halifanyiwi ibada..
angalia hii...
ahsante kwa elimu...,
1. lkn pia kwenye uislam Mungu aliahidi kumuweka mpaka vizazi vijavyo vimshuhudie, huoni kitendo cha kuwapa elimu hiyo ya kuhifadhi alikua anatimiza ahadi yake..
2 .kwa nini manabii hawakuhifadhiwa kama faraos na wapo waliokufa kipindi hicho
mi nimekuelewa mkuu..sasa kwa ufahamu zaidi napenda kujua
1. miii mingine ya mafarao (wafalme) ipo wapi
2. ni miili mingine ipi ipo mpaka leo maana ni jambo la kawaida sana hilo kwa kauli zako
mkuu inaonekana chuki zimekujaa juu ya imani ya waislamu...hayo mambo ya chuki achana nayo hayatakusaidia kitu..cha zaidi utajiumiza roho tu na roho yako mbaya...na pia ...maeneo yote uliyotaja kuna watu wa imani zote...na ndio maana kuna nyumba za ibada za dini zote....so ushoga sio issue ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.