Salaam;
Naomba msaada kwa anyejua mahali yanakopatikana yale maboksi ya kufungashia keki, kama kuna mawasiliano yao au kuelekezwa walipo nitashukuru sana. Asanteni.
Salaam;
Naomba msaada kwa anayejua mahali yanakopatikana yale maboksi ya kufungashia keki kwa hapa Dar es salaam, kama nitapata mawasiliano yao au kuelekezwa walipo nitashukuru sana. Asanteni.
salamu wanajamii forum;
nauza kuku wa kisasa wenye wiki tano kwa shilingi 4900/=....punguzo itategemea na mzigo utakaochukua, tuwasiliane kwa namba 0787703107
salamu wanajamii forum;
nauza kuku wa kisasa wenye wiki tano kwa shilingi 4900/=......punguzo itategemea na mzigo utakaochukua, tuwasiliane kwa namba 0787703107
yani ulichoongea ni ukweli mtupu.....eti mtu hatak kukuambia au anakuongopea....dats y hata wanaotuma video zao youtube wengi ni wazungu...km huwezi kumuelekeza mwenzio basi hiyo ni dalili ya kutojiamini. Halafu ulifanikiwa kupata fondant hapo shoppers??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.