Umenifanya nifurahi..kuna mtu alioa mwalimu na lengo lake tangu mwanzo ni kupata mwanamke ambae ataweza kumcontrol kwa vile kamzid kipato.yy yuko bank na anakula mshahara mzur..Kama ilivyo kawaida Mungu si athuman bi dada akapangwa kwenye mrad flan wazungu walikuja wakawa wanatafuta walimu...
Wanaume wengi ni selfish, jaribu kuwaambia dada zao au watoto wao wasiende shule ili wawe wake bora watakuja na opinion tofauti kabsa..ila kusema dada wa wenzao kila siku ili mradi tu kufurahisha roho zao.wakisikia mashemeji zao wanataka kuwaachisha kazi dada zao wanaweza hata kuua mtu...ha ha...
You said it well,issue hapo ni nimkwanja tu ndo unaotafutwa..na huu ni ukweli mchungu ambao wanaume wengi hawatak kuusikia wao wanadhani ni mahaba tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.