Hapo kwenye lishe ya mtoto wa siku moja mpaka miezi sita, maziwa ya mama peke yake hayatoshi. kuna haja ya kuongezea uji mwepesi kadiri mtoto anavyokuwa, maana watoto wengine jinsi anavyokuwa maziwa ya mama hayamtoshelezi. utakuta mtoto hapati usingizi vizuri sababu ya kutokushiba vizuri
Ni kweli kabisa. na kwa kuongezea wanaume wanazeeka mapema sababu ya kutembea na wanawake wengi. utakuta jamaa ana mke na mahawara kibao..too much sex inazeesha
Nafikiri ni uamuzi mzuri wa kuacha kusaidia watu ambao wamepewa nafasi ya kujikomboa wakaiacha, halafu mwakani wakidaiwa ada za shule wanaazna kuomba misaada...tuwachinjie baharini.
Murukulazo
namkumbuka huyu mzee alikuwa anauza karanga mitaa ya mwananyamala na ilala, mavazi yake yalikuwa yakitisha watoto. karanga zake zilikuwa nzuri sana
Tumuogope Mungu tuseme ukweli. Nilikuwa kwenye gari karibu na nilishuhudia hiyo ajali, land cruser ndiyo iliyo overtake na kusababisha ajali, basi lilikuwa upande wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.