masopakyindi
Kwa kweli sijaona hoja yako ndugu,
umetumia kigezo gani kumlinganisha mhe. Mwakyembe na mhe. Mwandosya
kwasababu kama ni political impact, mwakyembe yupo juu(nikimaanisha,he brought more change)
kama ni elimu, bado mwakyembe yupo juu
kama ni leadership skills, both ni viongozi but...