Recent content by Fatael

  1. F

    Fahamu athari ya spirit of a man/woman (1 & 2)

    Inawezekana kama tayari una pepo la ngono
  2. F

    Wanachama 500 wa CCM na diwani mmoja Muleba wahamia CHADEMA

    :heh:Hadi raha,jumba bovu linaanguka nani asubiri limwangukie?
  3. F

    Gazeti la Nipashe 1995 Lowasa na mkuu

    inatisha:angry:
  4. F

    Mnyika: Udhaifu wa taasisi ya urais umefanya urais kuwa rahisi

    Mnyika ana CHARSMA na GOOD CHARACTER ndiyo maana akatambua unyeti wa Ikulu,huyu kijana ni Rais mtarajiwa,endelea kupambana miaka 15 ijayo utakuwa umejengeka vizuri kiungozi,unakipaji na uwezo wa kiuongozi.
  5. F

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Mwenyekujua Historia ya Israel lazima aibariki lakini mbumbumbu wa Historia ya Israel lazima ailaani,pia ukisoma Biblia Mwanzo na Kutoka yote utaielewa ISRAEL vyema.Ni kweli namwomba Mungu Rais ajaye awe na maono ya kufungua ubalozi Tanzania
  6. F

    Hivi watoto wa Nyerere na Mkapa hawaiwezi au hawataki kujihusisha na siasa?

    acheni kupakaziana bora tupeane namna gani ya kuleta mabadiliko kiuchumi,kisiasa,kielimu na menginine yatakuwa sawa.
  7. F

    Picha: Mkutano wa ACT jumapili jijini Mwanza ulivyododa,walizomewa,wahutubi aji wajaa jaziba watukana

    hawa ATC wamekosa kazi yakusafirisha barua za ccm kwenda kwa Zitto sasa wanajifanya mmbadala wa CHAMA MAKINI KAMA CHADEMA kinachogundua wauaji wa demokrasia na upinzani na kuwachinjia baharini,hakuna mbadala wa ccm kama cdm,atc ni vibaraka wa na mawakala wa kuua upinzani lkn wameshapotea njia na...
  8. F

    Majibu kwa Nape, Ridhiwan Kikwete na wengine kuhusu elimu yangu na niliposoma

    hongera Mnyika kwa kukubali kuonyesha uzalendo kwa vijana wajitoe kupigania haki na usawa ktk nchi yetu.sasa ni zamu ya Nape na Ridhiwani kujieleza juu ya elimu yao.karibuni
  9. F

    Tathmini: Matokeo ya Uchaguzi wa Udiwani uliofanyika Februari 9, 2014

    Naona mtanange ulikuwa si wakitoto,sasa nimekuwa kwenye mtihani wiki mbili,kesho ndo namaliza,lakini sijajua nani aliongeza kata nani kazidiwa kete.
  10. F

    Ni wakati umefika sasa kwa NCCR Mageuzi kurudisha heshima ya upinzani, CHADEMA wanatia aibu!

    CADEMA inachanja mbuga,inaitimulia ccm vumbi sasa inauma inataka kutumia chopa 3 kata 3,mbona mmesahau kutoa komment zenu baada ya matokeo ya jumla ndo mpate cha kusema,jiandaeni kisaikolojia kuichia CHADEMA IKULU japo inauma lakini Watanzania wameamua,CHADEMA JUUUUUUUUUUUUUU,mafisadi...
  11. F

    Tundu Lissu asema kuwa Mbowe hana shahada ya chuo kikuu

    Kabisa,kama ameweza kuwaendesha mafisadi mchakamchaka mpaka wasomi na vijana wakamuunga mkono,nakuleta mabadiliko ya kisiasa hadi mafisadi wakakosa hoja wakabaki kutumia dola kuzima hoja badala ya kutumia elimu walizo nazo,je nani mkali hapo?nani aliye elimika?anaye tumia dola au hoja.cdm moto...
  12. F

    Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

    Kuwa na elimu kubwa ni vizuri maana unaongeza IQ lakini haisadii katika uwajibikaji?maendeleo yanaletwa na ushawishi wa kiongozi ktk kutumia rasilimali asili,watu na kuziunganisa na mlengo ndo maendeleo na si elimu peek.Mbona tuna Prof Maghembe,Dr Kawambwa n.k lakini wizara zao zina...
  13. F

    Maneno ya hekima kutoka kwa mwenyekiti wa Taifa CHADEMA

    Ulitaka kumhoji kwa lipi akakataa iwe ndo ushahidi wako,pia wote waliotimuliwa wameshindwa kumbana kwa chochote hivyo inathibitisha bosi wao hakuwa na shida isipo kuwa ULEVI WA MADARAKA NA TAMAA YA PESA imewaua kisiasa.lkn ndo funzo ili wajifunze na wengine.
Back
Top Bottom