Kwanza kabisa niwasalimu ndugu wote wana jf, mimi nikijana mwenye 25yrs, elimu degree, naishi kahama, nimekuja mbele zenu kwa unyenyekevu mkubwa naombeni kwa yeyoyote.
Mwenye connection ya ajira iwe rasmi ama isiwe rasmi hata ukondakta niko tayari kufanya kwa uaminifu mkubwa na moyo wangu wote...
Nina %95 kuw ww in Tapeli. Mzee sio wote tunaosoma Uzi kwa juu juu. I guarantee u kwmb ww ndio Tapeli hapo. Na haupo Australia mkuu Amini ya kwamba upo humu humu bongo.
Anyways unatumia akiri sn kukamilisha mission yako yakupata chochote, nikupongeze kwa hilo, ila sio jambo jema kuumiza watu kw...
Kunao uwezekano ww nitapeli, possibly upo hapa hapa bongo bt unatafuta hizo fines na ela za usumbufu kwa kushirikiana na wenzio kuanzia dhl mpk huko police kuhakikisha unapata chochote cha usumbufu.
Inshort dogo ameingia ktk mikono ya tapeli makini, japo kunao uwezekano dogo sitapeli ila...
In my opinion There is no possibility of God, we are deeply controlled by the minority secret society under the umbrella of Religion and god. how can i feel the existence of uncreated. And if God loves us, we human being we could be the same in every aspects.
Finally "Shetani nayeye ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.