sikuwa nina maana ya kulalamika nilikua nashangaa kuona mfumo walioutumia kuchagua waliopita thats all ila sio kesi niko kwenye ajira rasmi maana naona wengi wenu mme comment kama kwamba tunavita ...ila pia ni changamoo ...niwashukuru wale mlonipa majibu mazur ya kunifanya nielewe mbinu zao ila...
Mnawawaza sana wachaga .....shame on u all ....hata mfanye mfanyavyo waliotangulia wametangulia tuu... Ukweli ni kwamba hata nyie mnaowaponda wachaga mnataman mngezaliwa wao....waacheni wenzenu wale maisha walijua elimu mapema wakat babu zetu wakiwasisitizia baba zetu kuchunga ng'ombe na kulima...
Kwa kweli sijawaelewa hawa ndugu zetu wamezingatia vigezo gani kuwapitisha watu kwenye interview baada ya aptitude test, kwani kama wangekuwa wamezingatia ufaulu wa marks za juu hakika wengi wa hao walioitwa wasingepita. Mfano mzur mimi nimepata marks 65.5 sijaitwa kwenye interview yao ila kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.