Recent content by farfat

  1. farfat

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    Ni sawa tu hakuna shida. Tufanye mambo mengine
  2. farfat

    JamiiForums Tanzania Siku 5 za Marathon ya CHADEMA Tsh. Milioni 70 zachangwa

    Jnyie si vibaka mana hionela inaweza kutolewa na kibakanwenu mmoja. Imagine mtu mmoja anaweza kuliibia taifa 1billion mtashindwa kuchanga kwa kishindo muwacheke chadema
  3. farfat

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawataki kulipia huduma za kuzaa na kwanini Serikali inakubali huu ujinga?

    Mtoa mada ni punga na ni chawa wa silikali
  4. farfat

    JamiiForums Tanzania Mimi kama mtanzania Mzalendo nawaasa wa Tz 🇹🇿 tukubali tu

    Tanzania hakuna raia mzalendo kaka. Ishi maisha Yako ukipata chance ya kula kula. Elimu itakuwa hii hii kwa miaka naenda Rudi hakuna tena miujiza. Ukipata chance ya kwenda nnchi za daraja la kwanza huku usirudi Tanzania
  5. farfat

    JamiiForums Tanzania Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

    Uko seriously mkuu kibiti c hapo maeneo ya kimanzi chana
  6. farfat

    JamiiForums Tanzania Nipo njia panda kuhusiana na mambo ya house party

    Sina nke mkuu 😂😂 mchumba ndio huyu anataka house part
  7. farfat

    JamiiForums Tanzania Nipo njia panda kuhusiana na mambo ya house party

    😂😂😂 Daaa kumamamake
  8. farfat

    JamiiForums Tanzania Nipo njia panda kuhusiana na mambo ya house party

    Bahari aichungwi mkuu ila tu kinachonipata Mimi vijana wengi kina wakuta. Maisha ndio haya haya😂
  9. farfat

    JamiiForums Tanzania Nipo njia panda kuhusiana na mambo ya house party

    Acha basi mkuu mbona jokes tena😂
  10. farfat

    JamiiForums Tanzania Nipo njia panda kuhusiana na mambo ya house party

    Huyu sio mke wangu ni demu wangu ila tupo kwenye uchumba
  11. farfat

    JamiiForums Tanzania Nipo njia panda kuhusiana na mambo ya house party

    Sio ndoa mkuu Mimi nipo kwenye uchumba usihukumu ndoa
  12. farfat

    JamiiForums Tanzania Nipo njia panda kuhusiana na mambo ya house party

    Haiwezi kukubali mkuu akati anajua mission ni ipi
Back
Top Bottom