Jnyie si vibaka mana hionela inaweza kutolewa na kibakanwenu mmoja. Imagine mtu mmoja anaweza kuliibia taifa 1billion mtashindwa kuchanga kwa kishindo muwacheke chadema
Tanzania hakuna raia mzalendo kaka. Ishi maisha Yako ukipata chance ya kula kula. Elimu itakuwa hii hii kwa miaka naenda Rudi hakuna tena miujiza. Ukipata chance ya kwenda nnchi za daraja la kwanza huku usirudi Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.