Kwa sababu sisi watu weusi ni wajinga sana.. kulikuwa na haja gani ya maviwanja.. habari za viwanja achia Simba na yanga.. uwanja wa uhuru stadium,Benjamin stadium, CCM kirumba,jamhuri dodoma, lake tanganyika kigoma sijui kaitaba vyote vingetosha so how come wanatuletea usengerema alafu wanataka...