Recent content by farasi6453

  1. F

    JamiiForums Tanzania Sativa: Hii ndio CT Scan ya kichwa changu Iliyopigwa pale Aga khan mida ya mid-night

    Pole sana kwa Sativa. Oh! My Tanzania, where are we going? Don't we see enough of bloodshed around us?. Oh! Dear Mwalimu don't look at us from your heavenly Kingdom, for you will feel sorry for us.
  2. F

    JamiiForums Tanzania ATCL bado hawajajipanga vizuri

    Dah! Hiyo ya mosi mkuu nimecheka hadi tumbo likauma!
  3. F

    JamiiForums Tanzania Muda umefika nchi za kiislamu na dunia iiambie Israel wacha na inatosha

    Una andika hivi umeona ratio na destructions kati ya Gaza na Israel?
  4. F

    JamiiForums Tanzania Jaribio la kumuua Trump: Nani wahusika? Kwanini?

    Huenda hizi ni kiki zake mwenyewe kutaka kujionyesha yeye anaonewa na serikali. Trump hana moral vikwazo zozote kufikia malengo yake.
  5. F

    JamiiForums Tanzania Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

    Hehe , halafu umkute ndiyo anahusika na faili yako ya kodi.
  6. F

    JamiiForums Tanzania Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

    Pongezi sana kwa Jeshi La Polisi kwa kufanikisha ukamataji huu. Naamini kwa wadhifa aliyekuwa nayo, connection na nguvu ya fedha ya mtuhumiwa, Polisi watakuwa wamepitia mtihani mkubwa sana.
  7. F

    JamiiForums Tanzania TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

    Acha ungosha! Huyu ni Mwislamu, anazikwa.
  8. F

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha TRA Kuchukua Hela za walipa Kodi Benki bila taarifa kikomeshwe mara moja

    Hamna ubora hapa! Hii sheria inawabana benki zote hapa TZ na TRA/BOT wana full mamlaka nazo.
  9. F

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha TRA Kuchukua Hela za walipa Kodi Benki bila taarifa kikomeshwe mara moja

    TRA kisheria inaruhusiwa kuamrisha benki yoyote TZ kuzua pesa za mteja ambaye TRA ina mgogoro naye.
  10. F

    JamiiForums Tanzania Serikali kujenga daraja la Pili Kigamboni (Magogoni-Kivukoni)

    Nashauri design ya Ujenzi wa daraja pia ulenge kuweka sehemu za recreational kama restaurant, cafe hata garden. Kuna daraja Iran Tabiat Bridge imejengwa nchi kavu imepata tuzo nyingi kwa design yake kujumuisha recreational activities . Huo wa kwetu eneo la bahari itakuwa na kuvutio kubwa sana...
  11. F

    JamiiForums Tanzania Zile Helikopta mbili za Ulinzi msafara wa Rais wa Iran aliyefariki kwa ajali zilikwepaje hali mbaya ya hewa?

    Kwa mtazamo wangu hii, ni sabotage iliyowezeshwa na security lapse. Kwanza helicopta ya mwaka 1971 ziliendeshwa na spea za mitumba. Ya pili ni hali ya hewa kuwa mbaya. Kwa nini wakaruhusu safari iendelee? Israel pia ina uhusiano mzuri na Azeri na wana kachero wengi sana pale. Hizi ajali za...
  12. F

    JamiiForums Tanzania Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

    Mnn! Toyota hapo andaa 20M nyingine.
  13. F

    JamiiForums Tanzania Anayedaiwa kulala na kula Serena kisha kutokomea aachiliwa huru

    Hii ni failure au lack of internal controls. Mwajiri amshtaki Dotto, kwa nini hakuchukua hatua mapema.
  14. F

    JamiiForums Tanzania SOFTWARE Nauza mfumo utakaokusaidia kutunza kumbukumbu za mauzo na manunuzi hata kama upo mbali na biashara yako

    Habari nzuri. Nauliza. Ina Inventory Control option? Data Security. Umesema data inakaa kwenye server zenu, mna security level gani? Ikiwa mtu kafanikiwa kuingia server zenu, na data ya wateja kuvujishwa inakuwaje? Kuweka data kwenu ni sawa na kuweka pesa benki. Je kuna mamlaka yoyote...
Back
Top Bottom