Bro no way out hyo ndo njia inayotumika kupima ( cm ) ya cervix kama ipo tayar kupitisha mtoto au bado inaitwa PV ( per vaginal examination) huwa tuna tumiaga vidole 2 cha pili kutoka kidole gumba na kidole cha kati
cha kuongezea kajaribu kucheki labda ni allergic condition kuna ndugu yangu aliugua fangasi za sehemu za siri takriban miaka 5 kumbe alikuwa na allerg ya nyama na samaki wa maji chumvi
mimi nikigundua tu mtu ana HIV + hata kwa condom sifanyi
ila ninacho kijua kwa kawaida binadamu huwa na CD4 kati ya 500 hadi 1500 ukikutwa na CD4 chini ya 200 itakuwa HIV+
Mkuu kwa hiyo case ya kwanza
1.unatumia sabuni ya aina moja kwenye kuoga au tofauti tofauti kama ni moja jaribu kubadili sabuni
2.kwamimi hiyo nahisi itakuwa ni ALLERGY jaribu kutumia CITRIZEN kidonge kimoja kwa siku tumia kwa siku 5 hadi 7
Kwa hiyo case ya pili
1.unampenzi mmoja au zaidi ya...
Hapa hatuangalii tarehe tunaangalia siku zenye uwezekano wa kupata mimba kwa mtu mwenye mzunguko wa siku 28 zikuzake za kupata mimba ni kuanzia siku ya 11 hadi siku ya 17 tangu amepata hedhi ila siku ya 14 ndiyo siku muhimu kwasababu yai hutoka sehemu yake na kwenda katika mji wa mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.