Tunguja
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 450
- 327
Je siku zake za kupata mimba ni kuanzia tarehe ipi?mzunguko wake ni siku 28 na humaliza siku zake kila baada ya siku 3-4.
Nimejaribu kupekua kwenye app tofauti tofauti naona wananichanganya tu nikaona nije kwenu,msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu kupekua kwenye app tofauti tofauti naona wananichanganya tu nikaona nije kwenu,msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app