MKAKATI WA KUIN'GOA CWT KISHERIA NA KUWARUDISHIA WALIMU PESA ZAO WALIZOIBIWA NA CWT PAMOJA NA FIDIA
Nimepitia mijadala mingi na malalamiko mengi ya WALIMU dhidi ya CWT,Hotuba ya Rais Magufuli na Mkuu wa Wilaya wa Hai dhidi ya madudu ya CWT
Nashauri,CWT wanamengi ya kutujibu Walimu kwa KUTUMIA...
I
INASIKITISHA SANA KUONA WATU WANAJIBU KIENYEJI SWALA LA KISHERIA KWENYE FORUM YA WANASHERIA..
Mwalimu husitishwe na waoga wasiojua sheria..Kiujumla walimu wote wanaibiwa sababu CWT haiko kisheria ni genge batili LA wezi..Iwapo unakatwa pesa yoyote kinyume na taratibu za kisheria huo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.