Recent content by Fan boy

  1. F

    Kwa waliojaribu Windows 11

    Mnalalamika kumbe laptop zenu mnazilaximisha
  2. F

    Changamoto juu ya ujenzi wa nyumba kwa tofali za kuchoma

    Pamoja na yote mliyosema tofali za kuchoma ni imara kuliko tofali za aina yoyote ile maana hazina expire date, na pia kujengea udongo ni bora kuliko kujengea cement.... sababu ni ile ile tope halina expire date
  3. F

    Plot number Block number na House number

    Habari za muda huu wapendwa wana JF. Kama maada inavyosema hapo juu ningependa kujua utofauti uliopo kati ya plot number, house number na block number mfano tu mdogo unavyotaka kusajiri business name wanadai vitu kama hivyo.
  4. F

    Block chain maana yake ni nini?

    Jamani kwa mwenye uelewa block chain ni nini? Nina dogo wangu wa kazi anapambana nayo sana hata simwelewe yani
  5. F

    Niezeke bati la kiwanda gani kati ya Alaf na Sunshare?

    Bro should i have your number tafadhali
  6. F

    Naomba kupewa elimu ya mabati na ubora wake

    Habari wanajamvi, Kama kuna mtu anayejua ubora wa mabati na kampuni ipi inazalisha bati bora nomba kufahamishwa
  7. F

    Naishauri Serikali isiwatumie ambao sio watumishi kwenye sensa, maeneo mengi wameharibu kazi na hakuna njia ya kuwajibisha

    Sasa nikuambie wasimamizi wakuu ndobwamefelisha hilo zoezi.. imagine kuna mahali watu wamelipwa 80 elfu for two weeks na hata hiyo hela inalipwa unategemea nn
  8. F

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Na ebay je wanaruhusu kutumia payal? Maana naambiwa kwamba the ability to link paypal account is no longer availble. However any previously linked account remains active
  9. F

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Mkubwa samahani nashindwa kulink amazon na paypall naomba msaada
  10. F

    Microfinance sector

    Shukran kaka! Nitakutafuta
  11. F

    Microfinance sector

    Shukrani san wadau kwa michango yenu chana! Nadhani nimeelewa aksanten sana
  12. F

    Microfinance sector

    Habari za leo wanaJF Mimi swali langu la leo nalielekeza kwenye sector ya mikopo midogo midogo maarufu kama microfinance. 1. Je kwa Tanzania tuna aina gani za microfinance institutions? N 2. Ni procedure zipi za kufuata kama unataka kuanzisha microfinance instititutions? Kama yeyote mwenye...
  13. F

    SSD vs HDD

    [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Back
Top Bottom