Pamoja na yote mliyosema tofali za kuchoma ni imara kuliko tofali za aina yoyote ile maana hazina expire date, na pia kujengea udongo ni bora kuliko kujengea cement.... sababu ni ile ile tope halina expire date
Habari za muda huu wapendwa wana JF.
Kama maada inavyosema hapo juu ningependa kujua utofauti uliopo kati ya plot number, house number na block number mfano tu mdogo unavyotaka kusajiri business name wanadai vitu kama hivyo.
Sasa nikuambie wasimamizi wakuu ndobwamefelisha hilo zoezi.. imagine kuna mahali watu wamelipwa 80 elfu for two weeks na hata hiyo hela inalipwa unategemea nn
Na ebay je wanaruhusu kutumia payal? Maana naambiwa kwamba the ability to link paypal account is no longer availble. However any previously linked account remains active
Habari za leo wanaJF
Mimi swali langu la leo nalielekeza kwenye sector ya mikopo midogo midogo maarufu kama microfinance.
1. Je kwa Tanzania tuna aina gani za microfinance institutions? N
2. Ni procedure zipi za kufuata kama unataka kuanzisha microfinance instititutions?
Kama yeyote mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.