Recent content by fally d

  1. F

    JamiiForums Tanzania Gazeti la jana Mawio liliandika uongo wa Instagram (kuhusu DC Makonda), ombeni radhi now!

    Ngowi siyule mwenye Rasta au...?
  2. F

    JamiiForums Tanzania Kuanzia Januari 2016 wasanii kulipwa na Redio na Televisheni zitakazotumia nyimbo zao

    Huo mpango uandaliwe Sera nzuri pmja na kuwakutanisha wadau wote na kuona jinsi gani unaweza kuwa na impact.. usifanyike kisiasa unaweza usiwe na tija..Mana mtoa taarifa unasema ni January tu unaanza..
  3. F

    JamiiForums Tanzania Kuanzia Januari 2016 wasanii kulipwa na Redio na Televisheni zitakazotumia nyimbo zao

    WAtaanza piga mziki Wa nje sasa ...kukwepa hayo malipo
  4. F

    JamiiForums Tanzania Kwa Prof Muhongo na Mwakyembe, Rais Kateleza kuwateua kwenye Baraza

    Hivi wakati anasema jk ameangushwa Na utendaji Wa mawaziri wake wabovu..alkua ana Mana maana gan!!! Mbna naona team Ni ile ile tu ilyokuwa Kwa jk..
  5. F

    JamiiForums Tanzania January Makamba: Kasi ya Magufuli, Majaliwa imeipa Uhai CCM

    Amepigana kufa na kupona...!!! Kwan kachaguliwa nan jpm sisi wananchi au..? au ntakua sijamuelewa vyema!!
  6. F

    JamiiForums Tanzania Vita ya Urais yahamia kwa Januari Makamba, Mikakati ya kuiangusha UKAWA yahusishwa

    Kashindwa kututetea wananchi kwenye MB 8...SEMA ndy ivyo sabab nafas za uongozi zmekua za kupeana tu..!!
  7. F

    JamiiForums Tanzania Nape: CCM inaunga mkono juhudi za Rais Magufuli

    Vp kuhusu mahakama ya mafisadi...!!Kuna watu kweli kma vinyonga
  8. F

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani akabidhi Ambulance Jimboni

    Bendera ya Canada ya nn tena kwenye ambulance ya mbunge...!!
  9. F

    JamiiForums Tanzania Baada ya CHADEMA Kuzuiwa na Polisi kuuaga mwili wa Mawazo Mwanza,Mkuu wa wilaya awazuia tena Geita

    Sio ..maandamano wanataka kumuaga..Mohamed n muislam wao uwa awaagi...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Nani kaenda Geneva, Uswisi na Ndege ya Rais?

    Nawe soma tena alichoandika mtoa taarifa...kazungmzia ndege ya raisi..sio ile ya serikali inayotumiwa na viongoz Wa serikal au National team zetu..
  11. F

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Kinondoni yabomoa nyumba zilizojengwa kiholela

    Acha kupanick Mpaka unakosea na kuandika. Nayafuta kick ndyo Nini!!!....ata kma ingekua na alama ya z...wakat wanajenga hayo majengo Mpka yanaisha serikali IPO WAP..Kwa Nini hizo hizo x zisianze kwenye misingi ya nyumba mwanzo kabisa..au kubomolewa Kwa misingi ya ujenzi wao kuonyesha ni si sehem...
  12. F

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Kinondoni yabomoa nyumba zilizojengwa kiholela

    Hivi Mpka watu wanajenga kwenye hayo maeneo na kuwekeza ..serikali inakua iko wapi...!!! Mpka inakua Hivi Mambo yakuwatia watu hasara wengne mitaji yenyewe wamekopa...
  13. F

    JamiiForums Tanzania David Kafulila afungua kesi Mahakama kuu, kutetewa na Tundu Lissu

    Unamzungumzia lissu yupi..?
Back
Top Bottom