Recent content by Fallout

  1. F

    Nafasi ya kazi kwa anayejua lugha hii

    Merci fo nyonyo [emoji1549]
  2. F

    Anahitajika kijana wa kuuza duka la dawa Uyole, Mbeya

    Natafta kijana wa kuuza duka la dawa mwenye Cheti cha ADDO, duka liko uyole anaekaa maeneo hayo au jirani kidogo itakuwa bora zaidi. Kama upo interested Njoo pm
  3. F

    Natafta vifaa na eneo kwaajili ya biashara ya chips Mbeya mjini

    Habari zenu wakuu! Natafta vifaa vya chips used Mbeya mjini Kama kuna yeyote anauza naomba tuwasiliane pm. Nahitaji eneo Mbeya mjini Kama kuna mtu anaeneo naomba tuwasiliane pia.
  4. F

    NATAFUTA VIFAA NA ENEO KWAAJILI YA BIASHARA YA CHIPS MBEYA MJINI

    Habari wakuu, natafuta vifaa kwa biashara ya chips, yeyote anaeuza Mbeya mjini naomba tuwasiliane pm. Kama kuna eneo pia naomba tuwasiliane pm. Karibuni sana!
  5. F

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Incase kuna mtu anauza vifaa yuko Mbeya naomba tuwasiliane
  6. F

    Naweza kuwa afisa maendeleo ya jamii?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  7. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Najaribu kukupm naambiwa siwezi kuanzisha conversation nawewe, nahitaji hiyo line mkuuu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu nauliza kuwithdraw kwa visa ya crdb kutoka 1xbet kuna usumbufu wowote mpka kuchukua pesa Au inaingia moja kwa moja naweza kwenda atm moja kwa moja? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu shot Zako Ni hatari sana aisee Sent using Jamii Forums mobile app
  10. F

    Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

    Mkuu una apply vp hii Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom