Naweza kuwa afisa maendeleo ya jamii?

Naweza kuwa afisa maendeleo ya jamii?

Mkuu fact ulizoeleza na ndicho nilichomueleza Afisa utumishi wangu iwaje mtu wa sifa kama zangu tena ana stashahada amebadilishiwa muundo mwaka Jana Mimi nimeomba kubadilisha mwaka huu aseme sasa hv utumishi wako strect kiukweli Mimi nimeshindwa kumuelewa naomba ushauri wako nimchukulie hatua gani
Una ushahidi wa kuwa una sifa lakini unabaniwa??

Tafuta huo muundo mkuu ujiridhishe achana na habari ya kuwa mwenzio alipata mwaka jana
 
Una ushahidi wa kuwa una sifa lakini unabaniwa??

Tafuta huo muundo mkuu ujiridhishe achana na habari ya kuwa mwenzio alipata mwaka jana
MKUU MUUNDO MAANA YAKE NI SIFA UNASEMA KUWA AFISA MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA PILI
UWE UMESOMA SHAHADA YA MAENDELEO YA JAMII AU ELIMU JAMII SASA MIMI NIMESOMA SHAHADA YA ELIMU Y A WATU WAZIMA NA MAENDELEO YA JAMII KIUKWELI MKUU NAOMBA UTAFAKARI MIMI NATAKA NIMPELEKE NIKAMSHITAKI UTUMISHI MAKAO MAKUU IWAJE AMPE MWAKA JANA MTU MWENYE SIFA KAMA ZANGU NA TAYARI AMEBADILISHIWA MUUNDO
 
MKUU MUUNDO MAANA YAKE NI SIFA UNASEMA KUWA AFISA MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA PILI
UWE UMESOMA SHAHADA YA MAENDELEO YA JAMII AU ELIMU JAMII SASA MIMI NIMESOMA SHAHADA YA ELIMU Y A WATU WAZIMA NA MAENDELEO YA JAMII KIUKWELI MKUU NAOMBA UTAFAKARI MIMI NATAKA NIMPELEKE NIKAMSHITAKI UTUMISHI MAKAO MAKUU IWAJE AMPE MWAKA JANA MTU MWENYE SIFA KAMA ZANGU NA TAYARI AMEBADILISHIWA MUUNDO
Huna hoja ya msingi unaongelea umbea je Kama alimpa kimakosa na wewe akupe? leta facts za kimuundo Sio stori
 
WAKUUU KIUKWELI NIMESOMA BACHELOR DEGREE IN ADULT EDUCATION AND COMMUNITY DEVELOPMENT AFISA UTUMISHI KANINYIMA HAKI YA KUHAMIA MAENDELEO YA JAMIII KUWA SINA SIFA
Endelea kufanya kazi yako ya Ualimu, Zitakapotangazwa kazi za maendeleo ya jamii omba.
Ukipata utaachana na kazi yako ya awali.
 
Back
Top Bottom