Before alikiba Kama unaikumbuka vizuri fiesta ya mwanza alisema yeye ni Prince afu alikiba Ni King na akasema kwamba yeye no mtoto wa mfalme yaani alikiba na akasema Ni team kiba,na kweli bila hiyana akapata nyomi kubwa na kusahau wema wa diamond kwenye zari all white party ambapo baraka the...
Imekuwa Kawaida wa mama wengi wajawazito nchini Tanzania na Duniani kutokuwa na wamama wasindikizaji hasa wakati wa kujifungua bila kujua faida za kuwa nao,ko zifuatazo Ni baadhi ya faida za kuwa na wamama wasindikizaji wakati wakujifungua kama vile;
01)Hupunguza msongo wa mawazo:uwepo wa mama...
Naanza na Mimi hapa;
Umwana atabwigwa,ubwigwa na masomo utukula=maana yake mtoto asiposikia,atasikia na macho yakiwa mekundu au akiwa analia na kutoa machozi baada ya viboko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.