Shida yangu ni uhamisho status inasoma TAMISEMI muda mrefu naomba kujua nitapata barua lini, sababu nipo stressed Sana miaka 15 naishi mbali na familia tafadhali naomba mnisaidie nashindwa Hadi kufanya kazi kwa Sasa
Mimi naumwa mgongo sababu ya kuchoma sindano ya oparetion mtoto anamwaka Sasa ila maumivu ni makali nimemeza dawa lakini maumivu hayaishi,je naweza tumia tiba zenu
Habari
Naomba kufahamu mita ikiungua na kulikua na unit je nikifungiwa mita mpya unit zangu za mwanzo inakuaje?nilifika Hadi TANESCO - NKASI wakanambia niandike barua matokeo yake Hadi Leo sijajibiwa kitu na unit zangu zilikua 62
Watumishi tulioomba uhamisho kwa njia ya mfumo na status inasoma TAMISEMI Nini kinaendelea miezi minne hakuna kinachoendelea naomba mtujuze,uhamisho mtatoa lini?
Habari,naomba kujua Kama Kuna mtumishi aliefanikiwa kupata kibali cha uhamisho kupitia mfumo wa ess,ni miezi mitatu status inasoma TAMISEMI lakini hakuna kinachoendelea.tufahamishane tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.