sifa za huyo mume
sifa za mume
- miaka kuanzia 39 -55
-mfanyabiashara au mfanyakazi
-mkristo mcha mungu
-anaishi dar
-elimu kidato cha nne hadi phd
-mrefu kiasi mweusi na mnene kiasi
- asiwe tegemezi...
Ndio tatizo la kujaji kitabu kwa cover lake sina ugomvi nawe na huwezi kujaji imani ya mtu kwa Kuwa wewe so mungu ni binadamu ulie na mapungufu yawezekana kuliko mm!
Tatizo unanisemea kwani umetembea Tanzania nzima na kuonA hakuna mwenye age hi yo anayehitaji rafiki? Sometime ukiona halikihusu liache lipite au pita tu nenda zako mbunye yangu au yako ! Tatizo Lila atafutaye rafiki so lazima aliwe hi yo mbunye
Uxiusemee moyo wangu kuwa na marafiki wengi we kunakupa shida mbona unakiherehere name maisha ya wenzako niwe desperate au nisiwe unawashwa na mini mbona we na yako umeyakalia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.