Natafuta artist anayeweza kuchora cartoon kama za kwenye magazeti. interview hapahapa just design cartoon character wako azungumzie ulevi. Kisha itume kwa whatsapp kwenda 0767482177.
Anaeomba asiwe na kazi nyingine young artists will be given priority.
It's so sad i reported a querry through your call center on internet challenge since 16th september but to date no action taken regardless of several calls to remind.
I would appreciate if you will consider TAT on your customer querries and resolve them timely.
My numbers are 0767482177
inahusiana na anxiety issues muone expert wa masuala ya saikolojia utapewa dawa zinazoondoa hiyo hali. huku kwetu ni ugonjwa mpya lakini kwa wenzetu ulaya ni wa siku nyingi unatokana na sababu za kimazingira na misongo ya mawazo. kama unafuatilia habari ni jana tuu huko marekani baba ameua mtoto...
nadhani umeangalia suala zima la ndoa katika kipengele kimoja tuu , wakati falsafa ya ndoa nibpana sana. kwa ufupi
1. binti akiolewa anapata stara yaani anakuwa na mume ambae anamtimizia haja zake kihalali hili linaepusha aibu ya kutembea na wanaume mbalimbali na pia kumuepusha na magonjwa
2...
labda kabla sijakushauri nikuulize are you seriou!!!? usd 3.5 millions just for madrassa lindi town!?? kwa pesa za Tanzania ni approximately 5.6 billion! hebu fafanua hapo kwanza
search vics machines.com hao ndo main suppliers wako china wan kila aina za oven proofer visu vya mikate na mengineyo shipment wiki 2 unapata vifaa vyako full set ya bakeryequipments kwa 15_ 20m.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.