hv inakuaje mw'ume na ndevu zako kila ldara unahamishia mabeg kwa mw'mke.....halafu unaenda na wivu wako na vijisheria vyako?pumbaaavu mchana kweupe nampa notisi...
Bunge Movie......humu ndani kuna wahucka wa kila aina....aliezipanga hizi scene ni mbunifu kwelikweli manake kila mhucka amevaa uhucka wake barabara...wacwac wangu ni kwa director wa hii movie manake anaonekana hakubaliani na baadhi ya wahucka na hivyo anawafanyia action-cut,action- cut,zisokua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.