Recent content by faint

  1. faint

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo dar ilala nije moro manispaa..kama upo tayar nichek fetty189@gmail.con
  2. faint

    Imebainika: Mwaka huu wanaume wote wanaolelewa na wanawake lazima waachike

    hv inakuaje mw'ume na ndevu zako kila ldara unahamishia mabeg kwa mw'mke.....halafu unaenda na wivu wako na vijisheria vyako?pumbaaavu mchana kweupe nampa notisi...
  3. faint

    Kilimanjaro Tanzania Music Award (KTMA)2014 Live Updates

    Duuh usiringie weupe hata ubuyu nao..............mpoki sasa anakoelekea mmmmmhhhh
  4. faint

    Kilimanjaro Tanzania Music Award (KTMA)2014 Live Updates

    Utani wa mpoki unagonga penye ukweli....duuuh wanakula vitu vikali kule mjengoni wakiongozwa na Adam mchomvu
  5. faint

    Hii Kali Mjumbe Mmoja wa Bunge la Muungano wa Zanzibar kasema hivi

    Bunge Movie......humu ndani kuna wahucka wa kila aina....aliezipanga hizi scene ni mbunifu kwelikweli manake kila mhucka amevaa uhucka wake barabara...wacwac wangu ni kwa director wa hii movie manake anaonekana hakubaliani na baadhi ya wahucka na hivyo anawafanyia action-cut,action- cut,zisokua...
  6. faint

    Hii Kali Mjumbe Mmoja wa Bunge la Muungano wa Zanzibar kasema hivi

    Hii haihitaji phd kuprove.....
  7. faint

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 14 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Dk kumi pumba tupu....huyu mama cjui ata uko kichwani kwake kuna nn
  8. faint

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 14 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Duuuuuh,kwa mwrndo huuu,hatutafikia lengo...huyu mama anaongea mipasho vibaya mno
  9. faint

    Andika sentensi ifuatayo katika wingi

    Mashabiki wa timu ya simba wana wake.....aaaaaaaaah
  10. faint

    Kwa ndugu zetu wapare

    Maana yake ni;niondokee hapa ama ondoka hapa....hiyo nyingine ni njoo ule shemeji....
Back
Top Bottom