Recent content by fahari yetu

  1. F

    Soweto Mbeya, eneo linalotikisa kwa matapeli

    Habari wana jamvi,eneo la Soweto mbeya ni eneo maarufu sana mkoani MBEya kwa utapeli na vijiwe vya matapeli. Cha kushangaza wao pia wamejipa vyeo kama vya wakuu wa nchi kuanzia raisi wao hadi ma rc wapo kwa level za utapeli Wadau kuweni makini sana maana utapeli unaofanyika ni wa mwaka 2030...
  2. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Waulize madiwani wa Dar watakwambia uzuri wa Dk Massaburi. Watanzania wenye akili fupi wanadhani kila anayefanikiwa kimaisha ni fisadi au mwizi. Huo ni wendawazimu tufanye kazi jamani ili maisha yetu yabadilike. Dk Massaburi ni mtaalamu wa ugavi na manunuzi aliyebobea. Kichwa chake ni msaada kwa...
  3. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Kwamba akiwa Meya hajafanya lolote hilo ni kawaida, si umesikia kila siku marais wanaambiwa hawajafanya kitu, lakini wanaosema hivyo wanaenjoy jasho la hao viongozi wanaosema hawajafanya kitu.Hata Sumaye na Lowassa Mawaziri Wakuu walidiriki kusema hakuna kilichofanyika na tuliwashangilii...
  4. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Si kweli wale vijana ni wa Chadema, hivi dunia ya leo utamtuma kijana gani na akubali kufanya jambo la hatari? vijana wameelimika na ndio maana Ukawa walipopanga maandamano kupinga matokeo wakaambulia patupu. Kosa lake nini; kwamba hakupaswa kuwapongeza wakati wameandamana kumuunga mkono Dk Slaa...
  5. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    And then suala la yeye kukaa Chanika si issue, si lazima mtu awe na makazi sehemu moja. Ndio maana unaona leo Pinda anaishi Pugu lakini alikuwa anaishi pia Masaki na anagombea Katavi na wengi wako hivyo. Hivi Kubenea ni mkazi wa Ubungo? nafahamu Dk Massaburi ameishi sana Ubungo kuliko mahala...
  6. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Ya hata mimi katika hilo nimegundua jamaa mtandao wake bado ni very strong katika siasa. kilichotokea Ubungo ni ajali ya kisiasa tu. Ni kama yaliyomkuta Lowassa, Hashim Rungwe, Kafulila, Machali na wengine wengi. Dk Massaburi si wa kubeza aisee.
  7. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Hivi ukiwa mpiga dili unaweza fanya kazi na wazungu? tena Benki ya Dunia thubutuuuuuu wale sio kama Mkombozi Benki au stanibic, Dk anaaminika ni basi tu wabongo tuna wivu wa kike
  8. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Mtoa mada kaleta mada kama mada nyingine zinavyokuja jambo la msingi ni kujenga nguvu ya hoja si hoja ya nguvu.
  9. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    suala la UDA lipo wazi Dk Massaburi ameongeza bei ya uuzwaji kutoka Bilioni 1 hadi bilioni 5.7, na akaivunja Bodi ya UDa kwa wizi, halafu akafichua Sh milioni 300 kuwa zimeingia kwenye akaunti binafsi ya Iddi Simba. Huyu ni shujaaa. Uda ilikuwa inakufa kama yalivyokufa mashirika kibao ya umma...
  10. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Si lazima ndani ya jamii forum tuwe negative kwa kila jambo. Why watu wapaniki. Hoja ni kujiondoa kwa Dk Massaburi kwa kumuunga mkono Ndugai ambaye leo anakuwa Spika wa Bunge la 11. Mnaompinga Dk Massaburi hamtazami mbele. Huyu mtu amesifiwa hadi na Kamati Kuu kwa kitendo hiki, sasa why...
  11. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Mtoa hoja nakubaliana na wewe moja kwa moja. Kwa mwanasiasa kuanguka ni ajali ya kisiasa, vinginevyo ingekuwa ukianguka huwezi inuka, mbona wakina Lowassa bado wapo kwenye game ingawa wamewahi kuanguka mara kibao.Mimi kilichonifurahisha Zaidi ni hatua ya yeye kumuunga mkono Ndugai na kuamua...
  12. F

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Hakika tunaitaji viongozi kama masaburi .nashangaa serikali imuache mtu kama yeye ni mtu muhimu kwa serikali ya tanzania.hakika ametumia elimu,busara yake na ukomavu wa kisiasa katika hili. Kweli ccm wana watu.
  13. F

    Ikulu yamtaka Mengi kupeleka malalamiko yake Polisi

    mengi ana mengi sana.....
  14. F

    Michael Joseph Mbuza, ajitokeza kuwania Ubunge wa Mbeya Mjini

    Kila kukicha Mbeya mjini wanaotangaza nia wanaongezeka na cha kuvutia wingi vijana. Mdogo wa aliyekua katibu wa itikadi na uenezi CCM marehemu Emanuel Joseph Mbuza kajitokeza na yeye kutangaza nia ya kugombea kupitia CCM anaitwa Michael Joseph Mbuza Jamaa ni mwanasheria sasa anataka kuwatumikia...
Back
Top Bottom