We acha tu yaani usiombe ukakutana na hawa CCM na wewe ni mtumishi wa umma, maana kuanzia sijui mjumbe wa wazazi, UV-CMM, UWT , NEC wote wanajiona ni kama Mawaziri wanaweza kuamrisha chochote yaani ni mkorogano tu.
Basi usingejisumbua pia kumuweka huyo Mnyika wa zamani....what was your implication? kwamba anavaa vizuri zaidi siku hizi? kanenepa ? kaota ndevu ? kawa na kipara ? hueleweki......
Mmeanza hivi watu wa Ngara/Kagera waliwakosea nini? Ntukamazina ni mnyarwanda toka lini? chuki tu zimewajaa......haya na muwaondoe na hao wasomali, wamalawi, wamsumbiji, wakenya etc. tuone nani atabaki.
Hivi Lumumba waga hamfanyi evaluation ya projects mnazozianzisha maana mngekuwa mnafanya hii ya buku 7 mngeshaachana nayo maana is a totally failure......jipangeni aisee mje kivingine ni aibu!!!
Ila wabongo kwa ubunifu wa ku-justify ulaji siwawezi, kuna umuhimu gani wa hao wamama/watoto na vitenge vyao mi nadhani mapokezi ya airport yanatosha kabisa hapo ni kupoteza muda tu na hela za kofia, bendera, tisheti na si ajabu posho juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.