Shida zina tabia ya kurudi,umeisha jua ni mtu wa aina gani..as long as ulijionea hali ya mtoto,ukajitoa basi moyo wako uwe mweupe na achana nae. Ingekuwa kakupiga hela hapo ningekushauri aitapike.
Ndugu hizo tabia za kizungu kizungu zitakuumiza. Unamika mingapi?Ni ke wewe?Chukua likizo kakae na wazazi wako upumzike. Sasa we acha tu hiyo kazi uje ukumbane na moto wa mtaani,utawehuka nakwambia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.