mi huwa s
iwaelewi kira wakati munabadilisha waraka wa mikopo mwaka huu mulisema kurenew mkopo baada ya miezi sita sasa kufika mwezi wa kumi mumebadirisha kurenew mpaka miezi kumi babadiriko yasifanyike zaidi ya mara moja kwa mwaka
hayo ni majungu mumeona mumeshikwa pabaya maana hakuna matangazo redioni wala kwenye tv wanajitangaza kwa ubora wao munawaanzishia figisu figisu toa hiyo kitu
nimekua nikimfuatilia sana lowassa lkn sijapata kuona hii style ya kuongea dk10,9,7 hv kama atakuwa anaongea hv hv kwa dk hizo si atatukosesha kura huyu. wana ukawa wenzangu mulio karibu nae mwambieni basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.