Tanesco wapeni taarifa TTCL kuna miundombinu yao inaharibiwa hapa Nyerere road karibu naToyota, kuna jengo linalojengwa hapa, zamani QUALITY CENTER GROUP.
Ninazo taarifa za uhakika kabisa kuna vijana watatu Shamte, Muha kidari, pamoja na Sharo, wamepanga njama za kuchimba na kuharibu miundombinu ya TTCL maeneo ya banda la ngozi Nyerere road hapa pembeni mwa Toyota tz relini, sikuona jukwaa la TTCL ila nimeona niweke hapa ili muwasiliane maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.