Recent content by Ezidon

  1. Ezidon

    Binti wa miaka 19 akamatwa kwa kumuua mpenzi wake

    Hahahahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]......!!!. ila watu wa hii jamiii ya forum wanalaana si bure
  2. Ezidon

    Pata mbao mbora kutoka njombe.

    Hakuna longo longo Wala utapeli katika hili sawala. Kama unahitaji mbao kutoka njombe saizi yoyote. Naomba tuwasiliane kwa namba 0672-031-066. Kwa walio serious tu.Asanteni.
  3. Ezidon

    Hii ni mahsusi kwa ajili ya wanaume

    We nilichangudoa si bure. Unajua na aina za dushee? Eti nyeusi kichwa chekundu. Duh:D
  4. Ezidon

    Nimekuomba namba tu ushatangaza shida zako zote

    dah mi mwenzenu sijui nimepata? ninamanzi moja hivi kila nikimpa hela lazima akija aje na kitu kanunua. getto lilikuwa emputi ila now limejaa na linavutia. sa najiuliza ananiseti nini? jinsi anavyonicare mazee mpaka naogopa si kwa kupendwa huku aisee
  5. Ezidon

    Kwanini asilimia 80 ya mawazo ya wanaume kwa siku ni ngono?

    inategemea unaongelea wanaume wa aina gani? kuna wanaume wanaowaza kuleta maendeleo, na kunawanaume wanaowaza kuletewa maendeleo. wanaume wanaowaza kuletewa maendeleo muda wao mwingi huwaza ngono na lawama zisizo na mpango, ila wanaume wenyekuwaza kuleta maendeleo huwezi kuta anafikilia upuuzi huo.
  6. Ezidon

    Njia Sita za Kumnasa Demu Mkali…

    hizi njia unaeza kuzitumia hata kwa tomboy? maana kuna matomboy wakali mfano kama yule aliyekuwa mtangazaji wa eastfrica tv katika kipindi kimoja hivi cha kuchambua video za kibongo
  7. Ezidon

    Ndoa: Nimevipata vyote isipokuwa hiki tu

    Hapo ndipo ninapo mkubari sir god aisee. Mkiambiwa mungu hataniwi mnabisha, hayo ndo madhara yake sasa pata joto ya jiwe. Eti mchungaji, mchugaji gani unashindwa kuvumilia kajaribu kama hako? je ungepewa majaribu kama ya AYUBU ingekuwaje? nabado utajuta kuzaliwa.
  8. Ezidon

    Kauli utakayosisitizwa na mdada wa JF siku mkionana

    hahahaaa! mkuu ungechimba chini ukasema siri yako afu ukafukia.
  9. Ezidon

    Anadai nikimtumia sana sitamuoa. Nimemwacha na mwili wake

    we unapenda kuwekewa mwichi mi napenda kutwanga kwa haraka haraka tu me&u ni bonge la perfect combinenga
Back
Top Bottom