Hahahahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]......!!!. ila watu wa hii jamiii ya forum wanalaana si bure
Hakuna longo longo Wala utapeli katika hili sawala. Kama unahitaji mbao kutoka njombe saizi yoyote. Naomba tuwasiliane kwa namba 0672-031-066. Kwa walio serious tu.Asanteni.
dah mi mwenzenu sijui nimepata? ninamanzi moja hivi kila nikimpa hela lazima akija aje na kitu kanunua. getto lilikuwa emputi ila now limejaa na linavutia. sa najiuliza ananiseti nini? jinsi anavyonicare mazee mpaka naogopa si kwa kupendwa huku aisee
inategemea unaongelea wanaume wa aina gani? kuna wanaume wanaowaza kuleta maendeleo, na kunawanaume wanaowaza kuletewa maendeleo. wanaume wanaowaza kuletewa maendeleo muda wao mwingi huwaza ngono na lawama zisizo na mpango, ila wanaume wenyekuwaza kuleta maendeleo huwezi kuta anafikilia upuuzi huo.
hizi njia unaeza kuzitumia hata kwa tomboy? maana kuna matomboy wakali mfano kama yule aliyekuwa mtangazaji wa eastfrica tv katika kipindi kimoja hivi cha kuchambua video za kibongo
Hapo ndipo ninapo mkubari sir god aisee. Mkiambiwa mungu hataniwi mnabisha, hayo ndo madhara yake sasa pata joto ya jiwe. Eti mchungaji, mchugaji gani unashindwa kuvumilia kajaribu kama hako? je ungepewa majaribu kama ya AYUBU ingekuwaje? nabado utajuta kuzaliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.