Jamani hali hii inatsha sana.kuna wengine wanalia wanahitaji watoto,sasa wewe mungu kakubariki ukapata mtoto unashindwa kumtunza sasa ulizaa ya nini au kutafuta kulaaniwa tu.jamani mtoto ni baraka ktk familia so tujifunze kuwalea watoto wetu wenyewe.
Kwa asilimia kubwa wafanyabiashara wa madawa haya ni vigogo wa nchi hii,na kama raia akifanya kosa hukamatwa na polisi na polisi akifanya kosa hukamatwa na nani!??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.