For those wanaotaka kuanzisha migomo, can they aford to loose 3yrs o more, hawajui thaman ya Muda. Maana agomae analazimisha mwingine amtatulie matatizo yake...watu kama hawa ndo wanakujaga kuwa viongoz wa ajab ajab wategemez kama hawa wa sasa tuwaonao
habar yako dada.....!
ukwel hiyo ya ufundi wa jikon nayo inamata japo inategemea kwa sisi wavulana tumetofautiana katika kuwatazama wasichana na kujiuliza kama fulan ana ujuz wa kupika au lah hilo weng hawalitilii manani na kujiuliza, ila kwa baadh ya wavulana linatiliwa maanani
ila kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.