Recent content by eyamango

  1. eyamango

    Kweli hali ya pesa ni ngumu

    Rais ### raisi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. eyamango

    Kweli hali ya pesa ni ngumu

    Hehehehehehe!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. eyamango

    Kweli hali ya pesa ni ngumu

    Kamata fursa hiyo,usiulize sababu ya bei kushuka kutoka 60,000,000/= mpaka 3,000,000/=,utawahiwa na wajanja wapenda vitonga. Hongera,umeolewa kumbe? Siku hizi wanaume bidhaa adimu,ukiwa mchepuko utaitwa mume. Nilidhani wewe ni nungayembe kama@Rebeca 83 aliyekuwa anaponda bikra juzi kati...
  4. eyamango

    Dkt. Idrisa Rashid aliyewahi kuwa MD TANESCO yuko wapi?

    Ni kama upo nje ya mada vile.Au akili zako zimekuongoza kuwa uko sahihi kwa uliyoyasema? Hebu soma alichouliza mleta uzi na jinsi wewe ulivyojibu. Ni kama vile umelipuka kimhemuko kujibu vitu nje ya mada!! Hebu tuliza akili urudi tena kujibu alichouliza mleta uzi. Sent using Jamii Forums...
  5. eyamango

    Baada ya Vitambulisho kinachofuata ni 'Health Records'

    1) nankwamkuongezea Tu ### na kwa kuongezea tu. 2) nan ## na We kibibi,shuleni ulienda kusomea....???!! Hehehehehe!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. eyamango

    Hiki ndicho cheti changu cha form four

    Apige maisha?Thubutu.Tulikuwa na jamaa O-level & A-level ya saba na tatu mpaka GPA 4.5 first class,lakini laifu mtaani wanasomeshwa namba na wale gentmen pass,pia wale la saba au waliorudia 4 & 6. Elimu ya darasani # maisha halisi ya mtaani. Kusoma sio lazima uwe na akili,n a kuwa na akili sio...
  7. eyamango

    Sirudii tena kumpigia kura mwanasiasa ambaye ameshawahi kuwa Mwalimu

    Haraka haraka niliposoma nika-reflect kuwa huta rudia tena kutoa mtandao pendwa wa tigo,kumbe kutopiga kura tena? Sisi wengine tutapiga,kila lakheri huko uendako!!! Hehehehehehe!!! Makuku Rey, Sent using Jamii Forums mobile app
  8. eyamango

    CRDB Bank wamefanya kosa dogo sana lakini wanaweza kushitakiwa na hii kampuni ya Canada muda wowote. They might end up paying millions of shillings

    Badala ya Crdb kukutafuta mnaleta malumbano. Kwani Crdb mkidokezwa suala hilo mtapungukiwa nini? Mkidokezwa mna hiari ya kulifanyia kazi ama la. Nothing costs you, crdb just listen the guy concerns!!!! Hahahaha!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. eyamango

    Ni aibu kusema Mwanza ni jiji la pili, limechoka, linachekesha, halmashauri hazina hela

    Ok,umekuja kivingine,bila shaka uzi wako huu ~inderctly~unahusu 'batle' ya "Mwanza Vs Arusha" Ila mjanja wewe!!!Ngoja waje wenye miji yao. Kanyaga twende.
  10. eyamango

    Haya mambo huwa yananichanganya sana nikiyafikiria, mwenye majibu anipe

    Hahahahaha,huku kuna babu zako haswa.Uwe unatulia upatiwe madini ukizingatia unaishi Mbaba Bay-Nyasa,mkiwa huko mnajifanya watoto wa mjini kumbe mwisho wenu Chiwindi tu. Karibu!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. eyamango

    Ukiwa na vijisenti kidogo, unajielewa ni ngumu sana kuishi na waswahili

    Hahahahaaa!! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. eyamango

    Ukiwa na vijisenti kidogo, unajielewa ni ngumu sana kuishi na waswahili

    Unaweza kuwa una maringo kweli ama laaa!!Ila hawa watu wa vijiweni ni hopeless sana. Majungu,roho mbaya,machinoo/wajuaji nk. Wengi maisha ni kuunga unga tu. Wapuuzi sana. Yeyote anayepita lazima watie neno la kimajungu. Wanapenda laifu zuri na wengi hawataki kujishughulisha. Yaani hao ni...
  13. eyamango

    Ukiwa na vijisenti kidogo, unajielewa ni ngumu sana kuishi na waswahili

    Kweli tupu, Sina kitu lakini wengi tupo hivyo, Majungu na roho mbaya tupu. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. eyamango

    Ukiwa na vijisenti kidogo, unajielewa ni ngumu sana kuishi na waswahili

    Kaza jari yako ndio nini?Au umemaanisha zakari yake? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. eyamango

    Ebu tazama hii clip halafu ustaajabu.. Yani tatizo liko mkoa wa Mbeya lakini maagizo anayatoa Mheshimiwa Makonda

    @Nafaka,mbona klipu inajieleza vizuri?Tusipindishe maneno hata RC Dar kutamkwa inawezekana ni katika mbinu za kujihami alizotumia huyo mama tapeli. Sawa brother yetu?Tusikuze sana mambo,bali muhimu ni haki za watu kusimamiwa. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom