Recent content by Extraordinary

  1. Extraordinary

    Azaboy, Jangwani, Zanaki, Kisutu, tukutane hapa

    Hahahaa kalikuwa kafupifupi hv! Yan akiongea kama hataki vilee
  2. Extraordinary

    Azaboy, Jangwani, Zanaki, Kisutu, tukutane hapa

    Alipoondolewa aliletwa mama mmoja hv kutoka kama sio kisutu bas zanaki daah yule mama alikuwa nomaaa watu walikuwa hawampendi, hakukaa sana akaondolewa
  3. Extraordinary

    Azaboy, Jangwani, Zanaki, Kisutu, tukutane hapa

    Heee jaman yule bibi alifariki. . Si ndo ofs yake ilikuwa imejitenga kwa nyuma hv
  4. Extraordinary

    Azaboy, Jangwani, Zanaki, Kisutu, tukutane hapa

    Yan yule mama alikuwa anapendwa!
  5. Extraordinary

    Nimezaa na mwanamke mzuri lakini...

    Kamfanyie plastic surgery huyo mtoto, rekebisha pua, mdomo, masikio n.k ni ushaur tu
  6. Extraordinary

    Wazazi wangu wamenivunja moyo kwa kumkataa mchumba wangu

    Kwahyo kwa mtazamo wako unahis huyo msichana hafai kabisa? Maana hyo haina tofauti na kumtenga..
  7. Extraordinary

    Wazazi wangu wamenivunja moyo kwa kumkataa mchumba wangu

    Bora we umepata nguvu ya kuuliza hilo swali maana mi nilikuwa nashindwa niulize vp nsije ambiwa nadharau wazaz wa watu.. daah nahis hao wazazi huko juu hawapo sawa kabisaaa
  8. Extraordinary

    Wazazi wangu wamenivunja moyo kwa kumkataa mchumba wangu

    Mmmh hao wazazi wako nimeshindwa kuwatolea maelezo!
  9. Extraordinary

    Hiki sio Kitambi ni Jitambi!

    Duuuh hatari
  10. Extraordinary

    Hakyanani naenda kwa mganga

    Duu mkuu hyo njia mbadala mbona ni hatar sana
  11. Extraordinary

    Hakyanani naenda kwa mganga

    Ha ha ha kuvua pichu gharama eeeh?
Back
Top Bottom