Alipoondolewa aliletwa mama mmoja hv kutoka kama sio kisutu bas zanaki daah yule mama alikuwa nomaaa watu walikuwa hawampendi, hakukaa sana akaondolewa
Bora we umepata nguvu ya kuuliza hilo swali maana mi nilikuwa nashindwa niulize vp nsije ambiwa nadharau wazaz wa watu.. daah nahis hao wazazi huko juu hawapo sawa kabisaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.