Pole sana mkuu.
Usikubali kujiua kirahisi mkuu, wewe ni mtu wa thamani sana.
Hayo yote yanayokupa msongo wa mawazo achana nayo ikiwemo wazazi wapuuzie kwa muda.
Maisha utayapatia taratibu, anza na chochote
Yeye anataka umuoe nani?
Kupata mke ni kazi ngumu sana kuliko kupata pesa.
Kuwa makini usirudi hapa kulialia mwezi mmoja baada ya harusi.
Kila la kheri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.