Recent content by Extra focus

  1. E

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Mkuu wewe ni mwanamke au mwanaume? Kwenye hadithi yako kuna sehemu kadhaa unabadili jinsia
  2. E

    JamiiForums Tanzania Sogea tuishi ndiyo ndoa inayodumu kuliko zote

    Achana na mambo ya kufariki bhana. Mbona wanawake mnawaza mali muda wote?
  3. E

    JamiiForums Tanzania Sogea tuishi ndiyo ndoa inayodumu kuliko zote

    Akishalipa mahari ukawapa baraka hii ni ndoa kamili kabisa
  4. E

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Anzeni kumchunguza Dulla na mama yake
  5. E

    JamiiForums Tanzania Sudan Kusini yamkaribisha Mwakilishi Mkuu wa AU, Jakaya Kikwete kabla ya uchaguzi wa kihistoria wa 2026

    Anashauri raia wake wauawe halafu anakimbilia nje kusema anaandaa uchaguzi wa amani
  6. E

    JamiiForums Tanzania Heche, dawa ya tuhuma sio wanawake kukufariji ni kujibu tuhuma na kupisha uchunguzi

    Wauaji na wezi wa rasiliamli zetu mbona hawajibu tuhuma na kukaa pembeni kupisha uchunguzi?
  7. E

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Yanga, Azam, Singida Black Stars na Fountain Gate Academy kuhamia ligi ya Zanzibar Muda wowote kuanzia sasa

    Waambie wafanye upesi mkuu, wanachelewa sana
  8. E

    JamiiForums Tanzania Pongezi Serikali Yetu Kutonyamazia Upotoshaji wa Media za Mabeberu Kutubagaza, Let's Be Proactive Rather Than Reactive, Tuwaambie Ukweli Wote!.

    Watoto wako watasikitika sana siku wakija kusoma hizi post zako. Jitahidi kuwahurumia mkuu
  9. E

    JamiiForums Tanzania Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Kinadharia uko sahihi ila kivitendo mambo sio mepesi hivyo. Wanaume tutafuteni pesa tu.
  10. E

    JamiiForums Tanzania Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Wanaume Africa hawawezi kufa kwa upweke, vijiwe ni vingi na ujamaa ni mwingi. Wanaume wengi Africa wanakufa kwa stress za ndoa.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Single maza bwana, yaani baada ya kukurudisha kwenye chati ndo umeamua kumrudia baba watoto wako

    Pole sana mkuu. Tulikuonya ukaona tunakuonea wivu.
  12. E

    JamiiForums Tanzania Wakati kataa ndoa mnakomaa, wanaume kamili Wali enjoy Father's day

    Huhitaji kuoa ili uwe baba mkuu. Kuna watu hawajaoa na ni baba wazuri sana na wengine wameoa ila watoto wanateseka
  13. E

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu niliyeishi naye kwa miaka mitatu amenisaliti

    Sawa mkuu. Endelea kumuangalia mpaka atakapokuua
  14. E

    JamiiForums Tanzania Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

    Pole sana mkuu. Usikubali kujiua kirahisi mkuu, wewe ni mtu wa thamani sana. Hayo yote yanayokupa msongo wa mawazo achana nayo ikiwemo wazazi wapuuzie kwa muda. Maisha utayapatia taratibu, anza na chochote
Back
Top Bottom