Recent content by Extra focus

  1. E

    Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

    Wenye wake ni wachache sana , wengi wameoa jinsia ya kike
  2. E

    Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

    Sio kazi nyepesi bwashee. Wanawake ni wengi ila wanaofaa kwenye nafasi ya mke na mama wa familia ni wachache mno na kuwapata unahitaji kutuliza akili
  3. E

    Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

    Yeye anataka umuoe nani? Kupata mke ni kazi ngumu sana kuliko kupata pesa. Kuwa makini usirudi hapa kulialia mwezi mmoja baada ya harusi. Kila la kheri
  4. E

    Je, ni sahihi mzazi kuuza nyumba au mali pasipo kuwaambia watoto wake?

    Ni sahihi kabisa. Kwani wakati anaijenga aliwauliza?
  5. E

    Baada ya CHADEMA kuruhusiwa kufanya sias, kuna kundi limeibuka TikTok linatukana viongozi. Tunaomba vyombo vya ulinzi viwafundishe adabu

    Kwanini tusishughulike na wezi wa rasilimali zetu ambao wametufanya tuwe maskini na ombaomba tangu uhuru?
  6. E

    Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Mkuu wewe ndiyo unashindwa kuelewa hoja ya msingi . Kama huwezi kutunza kwanini ukomalie kulea? Kwanini usiwaachie wanaoweza kutunza?
  7. E

    Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Unaweza kutunza ila usilee. Kulipa ada, kutoa wali nyama sio malezi bali ni matunzo. Sasa ukitaka haki ya kulea lazima uwajibike kutunza.
  8. E

    Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Sio kweli. Bali unakuwa umeshiriki matunzo. Malezi ni tofauti na matunzo.
  9. E

    Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Hujajibu swali la msingi. Wewe ulikuwa unatoa kiasi gani kwa mwezi wakati watoto wapo kwa ndugu wa mumeo? Maana malezi ni 50/50
  10. E

    Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Pole sana mkuu. Wakati watoto wako kwake wewe ulikuwa unatoa kiasi gani kila mwezi?
  11. E

    Kila ninapotaka tutoke pamoja, Mpenzi wangu anakataa kuongozana nami. Nifanyaje?

    Utamharibia kwa babe wake na hataki kabisa kumpoteza. Ila babe wake akioa atakukubalia umuoe ila atajitahidi amzalie angalau mtoto mmoja wa kiume.
  12. E

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hahahaha Kwa msimu huu Arsenal atachukua ubingwa. Msiwape pressure mashabiki wa Arsenal. Man city mwenyewe ni tia maji tu
  13. E

    KERO Utolewe Ufafanuzi Juu ya Mfumo wa Utoaji Alama katika Mitihani ya Mtandaoni

    Pole sana mkuu. Inauma sana kupata 75 halafu wa 76 anachaguliwa kwenda Oral
Back
Top Bottom