Recent content by Extra focus

  1. E

    Bangi: Kwa nini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Mkuu wewe upo kwenye kundi lipi la watumiaji kati ya uliyoyataja?
  2. E

    Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango nae. Nawaza bwana ake akijua sijui itakuaje

    Acha kutusumbua mkuu. Ulitakiwa kutushirikisha wakati unaipiga sana.
  3. E

    KERO Makato ya Mkopo kwenye Mshahara wangu yananitesa sana. Nilikopa Milioni 10 ili nifanye biashara ya madini ila haijafanikiwa

    Mkuu siku hizi ajira mpya kabla hata ya confirmation mnaruhusiwa kukopa? Hongera sana mkuu.
  4. E

    Mchungaji Katekela atakuwepo Dodoma kwa uponyaji

    Mkuu shamba lingekuwa suluhisho zuri. Leo mtu avute zake bangi bila shida na mtu yeyote wewe uite dhambi? Leo mtu anywe zake bia hajatukana mtu uite dhambi? Tumia common sense acha kukariri mambo
  5. E

    KERO Waziri wa Afya na TAMISEMI, chunguzeni utendaji kazi wa Kituo cha Afya Kigamboni, Watumishi tunapitia mazito

    Sema huu uzi umenifungua macho, watumishi wa afya mnapiga pesa ndefu aise, madai yako yote bila mshahara yanafika 1M per month
  6. E

    KERO Waziri wa Afya na TAMISEMI, chunguzeni utendaji kazi wa Kituo cha Afya Kigamboni, Watumishi tunapitia mazito

    Bi Tozo si alisema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake? Ndiyo waanatekeleza kwa vitendo
  7. E

    Mchungaji Katekela atakuwepo Dodoma kwa uponyaji

    Acha maneno mengi mtumishi. Tafuta shamba ulime
  8. E

    Je, Mwanamke Hubeba DNA za Wanaume Wote Aliowahi Kulala Nao? Mtazamo wangu ni huu

    True kwa kuwa sperm zako sio kitu kipya mwilini mwake
  9. E

    Je, Mwanamke Hubeba DNA za Wanaume Wote Aliowahi Kulala Nao? Mtazamo wangu ni huu

    Niliwahi kuambiwa na binti mmoja kuwa mumewe anamuamini sana kisa alimkuta bikra ila uhalisia ni kwamba anakitembeza sana
  10. E

    Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

    Dini zote wana uasherati ila ndugu zetu hawa huwa nahisi labda kwao sio dhambi
  11. E

    Donald Trump atangaza kusimamisha vita na Iran kwa siku 5 kuanzia leo

    Kama Trump hawezi kuandika proper English, watanzania wote wanaopuyanga hii lugha wasamehewe bure.
Back
Top Bottom