Recent content by Extra focus

  1. E

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Yanga, Azam, Singida Black Stars na Fountain Gate Academy kuhamia ligi ya Zanzibar Muda wowote kuanzia sasa

    Waambie wafanye upesi mkuu, wanachelewa sana
  2. E

    JamiiForums Tanzania Pongezi Serikali Yetu Kutonyamazia Upotoshaji wa Media za Mabeberu Kutubagaza, Let's Be Proactive Rather Than Reactive, Tuwaambie Ukweli Wote!.

    Watoto wako watasikitika sana siku wakija kusoma hizi post zako. Jitahidi kuwahurumia mkuu
  3. E

    JamiiForums Tanzania Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Kinadharia uko sahihi ila kivitendo mambo sio mepesi hivyo. Wanaume tutafuteni pesa tu.
  4. E

    JamiiForums Tanzania Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Wanaume Africa hawawezi kufa kwa upweke, vijiwe ni vingi na ujamaa ni mwingi. Wanaume wengi Africa wanakufa kwa stress za ndoa.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Single maza bwana, yaani baada ya kukurudisha kwenye chati ndo umeamua kumrudia baba watoto wako

    Pole sana mkuu. Tulikuonya ukaona tunakuonea wivu.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Wakati kataa ndoa mnakomaa, wanaume kamili Wali enjoy Father's day

    Huhitaji kuoa ili uwe baba mkuu. Kuna watu hawajaoa na ni baba wazuri sana na wengine wameoa ila watoto wanateseka
  7. E

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu niliyeishi naye kwa miaka mitatu amenisaliti

    Sawa mkuu. Endelea kumuangalia mpaka atakapokuua
  8. E

    JamiiForums Tanzania Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

    Pole sana mkuu. Usikubali kujiua kirahisi mkuu, wewe ni mtu wa thamani sana. Hayo yote yanayokupa msongo wa mawazo achana nayo ikiwemo wazazi wapuuzie kwa muda. Maisha utayapatia taratibu, anza na chochote
  9. E

    JamiiForums Tanzania Kumficha Baba wa Mtoto lila ugomvi ni uamuzi sahihi au la?

    Nenda sperm banks ujichagulie baba ambae hutakaa ujue historia yake
  10. E

    JamiiForums Tanzania Kila nikianza ku "save" hela, matatizo ya kifamilia yananisonga. Nifanyeje?

    Unajipa umuhimu ambao hauna mkuu. Niamini mimi leo ukifa wataishi vizuri tu na kila kitu kitaenda sawa.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Hivi unaweza kumbaka mkeo?

    Amtafutie mwanamke mwingine wa kumsaidia majukumu wakati kachoka. Maana huenda anachoshwa na boss wake kila siku.
  12. E

    JamiiForums Tanzania Hawa Wakenya, Wana nini na Tanzania?! Wanatutukania Rais Wetu kuwa She Was Nobody na Kumuita Dikiteta Iddi Amini Mama!, Tusikubali na Tusiwanyamazie!

    Nenda kawapige mkuu kama imekuuma sana. Usitujumuishe kwenye mambo yako
  13. E

    JamiiForums Tanzania Huyu Mwanamke amenishangaza sana

    Pole sana mkuu. Unatamani sisi tukusaidieje?
  14. E

    JamiiForums Tanzania Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

    Wenye wake ni wachache sana , wengi wameoa jinsia ya kike
Back
Top Bottom