Recent content by Extra focus

  1. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu niliyeishi naye kwa miaka mitatu amenisaliti

    Sawa mkuu. Endelea kumuangalia mpaka atakapokuua
  2. E

    JamiiForums Tanzania Maisha niliyonayo natamani hadi kufa

    Pole sana mkuu. Usikubali kujiua kirahisi mkuu, wewe ni mtu wa thamani sana. Hayo yote yanayokupa msongo wa mawazo achana nayo ikiwemo wazazi wapuuzie kwa muda. Maisha utayapatia taratibu, anza na chochote
  3. E

    JamiiForums Tanzania Kumficha Baba wa Mtoto Bila Ugomvi Ni Uamuzi Sahihi au La?

    Nenda sperm banks ujichagulie baba ambae hutakaa ujue historia yake
  4. E

    JamiiForums Tanzania Kila nikianza ku "save" hela, matatizo ya kifamilia yananisonga. Nifanyeje?

    Unajipa umuhimu ambao hauna mkuu. Niamini mimi leo ukifa wataishi vizuri tu na kila kitu kitaenda sawa.
  5. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi unaweza kumbaka mkeo?

    Amtafutie mwanamke mwingine wa kumsaidia majukumu wakati kachoka. Maana huenda anachoshwa na boss wake kila siku.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Hawa Wakenya, Wana nini na Tanzania?! Wanatutukania Rais Wetu kuwa She Was Nobody na Kumuita Dikiteta Iddi Amini Mama!, Tusikubali na Tusiwanyamazie!

    Nenda kawapige mkuu kama imekuuma sana. Usitujumuishe kwenye mambo yako
  7. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu Mwanamke amenishangaza sana

    Pole sana mkuu. Unatamani sisi tukusaidieje?
  8. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

    Wenye wake ni wachache sana , wengi wameoa jinsia ya kike
  9. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

    Sio kazi nyepesi bwashee. Wanawake ni wengi ila wanaofaa kwenye nafasi ya mke na mama wa familia ni wachache mno na kuwapata unahitaji kutuliza akili
  10. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

    Yeye anataka umuoe nani? Kupata mke ni kazi ngumu sana kuliko kupata pesa. Kuwa makini usirudi hapa kulialia mwezi mmoja baada ya harusi. Kila la kheri
  11. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi mzazi kuuza nyumba au mali pasipo kuwaambia watoto wake?

    Ni sahihi kabisa. Kwani wakati anaijenga aliwauliza?
  12. E

    JamiiForums Tanzania Baada ya CHADEMA kuruhusiwa kufanya siasa, kuna kundi limeibuka TikTok linatukana viongozi. Vyombo vya ulinzi viwafundishe adabu

    Kwanini tusishughulike na wezi wa rasilimali zetu ambao wametufanya tuwe maskini na ombaomba tangu uhuru?
  13. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Mkuu wewe ndiyo unashindwa kuelewa hoja ya msingi . Kama huwezi kutunza kwanini ukomalie kulea? Kwanini usiwaachie wanaoweza kutunza?
  14. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Unaweza kutunza ila usilee. Kulipa ada, kutoa wali nyama sio malezi bali ni matunzo. Sasa ukitaka haki ya kulea lazima uwajibike kutunza.
  15. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Sio kweli. Bali unakuwa umeshiriki matunzo. Malezi ni tofauti na matunzo.
Back
Top Bottom