Recent content by expert2go

  1. E

    Msaada wa scatter file ya vodafone vfd 301

    ROM vodafone vfd 301 | [Official]-[Updated] add the 10/03/2017 on Needrom free no money no password VODAFONE V301 vodacom tanzania. Enjoy guys!
  2. E

    Msaada wa scatter file ya vodafone vfd 301

    link hii hapa i-download kutoka google ina 880mb, uwe na bundle la uhakika. ikigoma nijulishe man!
  3. E

    Msaada wa scatter file ya vodafone vfd 301

    HELLO NDUGU! ASANTE KWA KUONYESHA MOYO WA KUNISAIDIA NA PIA KUWA TAYARI KUTOA MSAADA, SAMAHANI LKN, WAKATI NASUBIRI MAJIBU NILIKOMAA KUENDELEA KULITAFUTA HATIMAYE NILILIPATA HIVYO NIKA-FLASH SIMU NIKO HEWANI ASANTE SANA KWA KUNIJALI, ILA BADO NATAFUTA FLASH FILE TA TIGO...
  4. E

    Msaada wa scatter file ya vodafone vfd 301

    please naomba unitumie link ya hii file la vfd 301, nami nimeingia mkenge nimetumia file hz 2, -1- 408mb na -2- 301mb, simu inafungua logo ya vodafone lknmuda wote ina-load tu ktk duara la kuload yaani ni shida man! pls nisaidie tafadhari!
  5. E

    TECNO Y3+ file version "Y3_PLUS-H721A2-KK-TZTG-LC-161010V2"

    cjakusoma kaka what does it mean by pm? 0743784183 text me pls
  6. E

    TECNO Y3+: Y3_PLUS-H721A2-KK-TZTG-LC-161010V2

    una Ungekuwa Dar au hata huko mikoani tafuta makao makuu ya tecno watakupigia software mpya boss jua tanzania ni Dar kwingine maigizo kaka! pls kama una m2, ndugu jamaa mwenye simu kama hiyo tafadhari copy firmware initumie
  7. E

    TECNO Y3+: Y3_PLUS-H721A2-KK-TZTG-LC-161010V2

    GUYS AM VERY SORRY Lini unalitaka na upo wapi nikusaidie. Kama upo dar window pekee ya kukusaidia ni kesho, vinginevyo imekula kwako naku busy Habari zenu wanajamiiforum? nashukuru sana kwa kuonyesha ushirikiano wenu, ila samahani kwa kuchelewa kujibu hii post kwani mazingira niliyopo...
  8. E

    TECNO Y3+ file version "Y3_PLUS-H721A2-KK-TZTG-LC-161010V2"

    GUYS NAOMBA MSAADA MWENYE ROM YA TECNO Y3+ TAFADHARI NAOMBA LINK AMA TUWASILIANE. NAHITAJI HII FIRMWARE: Y3_PLUS-H721A2-KK-TZTG-LC-161010V2
  9. E

    TECNO Y3+: Y3_PLUS-H721A2-KK-TZTG-LC-161010V2

    Habari zenu ndugu! Ninashida ktk simu yangu, kwa kifupi imekufa baada ya kuflash na file ambalo liko chini ya uwezo wake, nina tecno y3 plus, nilichukua details zake kabla sija-flash, ila baada ya kuflash ndio nimegundua file nililoweka ni la zamani. Nililoweka ni...
  10. E

    Nafasi za kazi kwenye Mini Supermarket

    huyo mkurya magita, ndio maana ana hasira, kwani unadhani watu huenda kufanya kazi ili wapate nini? si ni mshahara? acha zako magita
  11. E

    TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

    ebana mimi ninatumia bluestack, nili-download whatsapp na ninaitumia vizuri, ila nahitaji kubadilisha user account ila sioni sehemu ya kufuta account, pia nikiiona nikifuta inarudi, kufuta bluestack issue, kwani mb karibia 300, what to do waungwana?
  12. E

    Help!!!! Whatsapp kwa kutumia pc

    ebana mimi ninatumia bluestack, nili-download whatsapp na ninaitumia vizuri, ila nahitaji kubadilisha user account ila sioni sehemu ya kufuta account, pia nikiiona nikifuta inarudi, kufuta bluestack issue, kwani mb karibia 300, what to do waungwana?
  13. E

    WATANZANIA TUWE KAMA WA-GHANA, WA-KENYA, WA-HINDI, Ma-kaburu AMA WA-AUSTRALIA KATIKA KAZI.

    Jamani Australia kuna nafasi nyingi sana za kazi, ila IESLT ndo inasumbua watu wengi ambao unakuta wamefaulu Interview, ila kuna kampuni zingine hawana usumbufu kabisa, ili mradi mpiga debe wako, awe anakubalika kule aliko! Hebu tuma hiza nafasi basi japo watu wang'arishe macho!
  14. E

    WATANZANIA TUWE KAMA WA-GHANA, WA-KENYA, WA-HINDI, Ma-kaburu AMA WA-AUSTRALIA KATIKA KAZI.

    Jamani pia tujue, kumsaidia mtu kupata ajira nzuri, si lazima umshike mkono na kumpeleka kwa HR na kumkabidhi, nadhani tunaelewa wenzetu katika maswala ya ajira wako makini sana, na wanaamini sana referees, hivyo basi, watu tunao wakingia vifua, tuwe tunawafahamu fika wanaweza na kuifahamu kazi...
  15. E

    WATANZANIA TUWE KAMA WA-GHANA, WA-KENYA, WA-HINDI, Ma-kaburu AMA WA-AUSTRALIA KATIKA KAZI.

    Dah! Ebana pole sana ndugu, mwanzo huwa mgumu, lakini tusiishi kwa mazoea, eti kwa kuwa ninafanya hivi, basi itakuwa vile, NO! sikatai, sio wote wasaidiwa huo wapo tayari kusaidiwa, na pia unapokuwa unamsaidia mtu, jaribu kuwa na full-background yake, japo kwa ufupi tu, sisi watanzania ni wepesi...
Back
Top Bottom