HELLO NDUGU! ASANTE KWA KUONYESHA MOYO WA KUNISAIDIA NA PIA KUWA TAYARI KUTOA MSAADA, SAMAHANI LKN, WAKATI NASUBIRI MAJIBU NILIKOMAA KUENDELEA KULITAFUTA HATIMAYE NILILIPATA HIVYO NIKA-FLASH SIMU NIKO HEWANI ASANTE SANA KWA KUNIJALI, ILA BADO NATAFUTA FLASH FILE TA TIGO...
please naomba unitumie link ya hii file la vfd 301, nami nimeingia mkenge nimetumia file hz 2, -1- 408mb na -2- 301mb, simu inafungua logo ya vodafone lknmuda wote ina-load tu ktk duara la kuload yaani ni shida man! pls nisaidie tafadhari!
una
Ungekuwa Dar au hata huko mikoani tafuta makao makuu ya tecno watakupigia software mpya boss
jua tanzania ni Dar kwingine maigizo kaka! pls kama una m2, ndugu jamaa mwenye simu kama hiyo tafadhari copy firmware initumie
GUYS AM VERY SORRY
Lini unalitaka na upo wapi nikusaidie. Kama upo dar window pekee ya kukusaidia ni kesho, vinginevyo imekula kwako naku busy
Habari zenu wanajamiiforum? nashukuru sana kwa kuonyesha ushirikiano wenu, ila samahani kwa kuchelewa kujibu hii post kwani mazingira niliyopo...
Habari zenu ndugu!
Ninashida ktk simu yangu, kwa kifupi imekufa baada ya kuflash na file ambalo liko chini ya uwezo wake, nina tecno y3 plus, nilichukua details zake kabla sija-flash, ila baada ya kuflash ndio nimegundua file nililoweka ni la zamani.
Nililoweka ni...
ebana mimi ninatumia bluestack, nili-download whatsapp na ninaitumia vizuri, ila nahitaji kubadilisha user account ila sioni sehemu ya kufuta account, pia nikiiona nikifuta inarudi, kufuta bluestack issue, kwani mb karibia 300, what to do waungwana?
ebana mimi ninatumia bluestack, nili-download whatsapp na ninaitumia vizuri, ila nahitaji kubadilisha user account ila sioni sehemu ya kufuta account, pia nikiiona nikifuta inarudi, kufuta bluestack issue, kwani mb karibia 300, what to do waungwana?
Jamani Australia kuna nafasi nyingi sana za kazi, ila IESLT ndo inasumbua watu wengi ambao unakuta wamefaulu Interview, ila kuna kampuni zingine hawana usumbufu kabisa, ili mradi mpiga debe wako, awe anakubalika kule aliko!
Hebu tuma hiza nafasi basi japo watu wang'arishe macho!
Jamani pia tujue, kumsaidia mtu kupata ajira nzuri, si lazima umshike mkono na kumpeleka kwa HR na kumkabidhi, nadhani tunaelewa wenzetu katika maswala ya ajira wako makini sana, na wanaamini sana referees, hivyo basi, watu tunao wakingia vifua, tuwe tunawafahamu fika wanaweza na kuifahamu kazi...
Dah! Ebana pole sana ndugu, mwanzo huwa mgumu, lakini tusiishi kwa mazoea, eti kwa kuwa ninafanya hivi, basi itakuwa vile, NO! sikatai, sio wote wasaidiwa huo wapo tayari kusaidiwa, na pia unapokuwa unamsaidia mtu, jaribu kuwa na full-background yake, japo kwa ufupi tu, sisi watanzania ni wepesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.