Recent content by EXODUS ZION

  1. EXODUS ZION

    Mdogo wa mke wangu amenasa ujauzito wangu. Nifanye nini?

    Ungekuja kutuuliza kabla huenda tungesema tumia kinga Au sijui nisemeje chagua which is which
  2. EXODUS ZION

    Fabrice Ngoma ni Midfielder Bora kuliko Khalid Aucho!

    Yale yale ya chama na pacome 😂 Aucho atabaki kuwa Aucho na ngoma atabaki kuwa ngoma
  3. EXODUS ZION

    Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

    uwe na wakati mwema ndugu as long as mwenye uzi kaona kipi ni kizuri upande wake basi siwezi tena bishana na wewe
  4. EXODUS ZION

    Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

    Me nadhani pengine ukaogee maji ya mchele sometimes it's okay to be "DUMB HERO"
  5. EXODUS ZION

    Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

    Ungekuwa haujafanya kazi kwako ningekubali Lakini piah hapo nimeongea vitu vingi 1. POSITIVE ATTITUDE 2. GROWTH MINDSET Unaweza ukawa unasali lakini negative mindset yako ikakufanya ukakwama au ukaisha kabisa ndio maana tukaitwa human BEings you have to BE positive na hatukuitwa human DOings...
  6. EXODUS ZION

    Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

    Sijajua wewe ni dini gani? Ila kuna kitu kinaitwa fungu la kumi......... Amka asubuhi na mapema omba, kabla haujafungua biashara omba, unqvyofunga biashara omba ukiuza sana mwambie Mungu ahsante, usipouza kabisa mwambie Mungu ahsante then toa fungu la kumi kila mwisho wa mwezi ikiwezekana funga...
  7. EXODUS ZION

    Siku ya kufa Nyani: Polisi na TRA wavamia biashara yangu

    😂 😂 😂 Huyo huyo mwenye kitambi au ni Afisa biashara
  8. EXODUS ZION

    Busara kutoka kwa baba tajiri

    Kama kitu hakijafanya kazi kwa mtu haimaanishi hakitafanya kazi kwako piah Don't jump just grow up because when you jump you will come down
  9. EXODUS ZION

    Busara kutoka kwa baba tajiri

    Hapa ndio utapokuja kujua utofauti kati ya mtu tajiri na masikini (mawazo)
  10. EXODUS ZION

    Wazo: Je, tunaweza kuifuta form six? Yaani Mwanafunzi akianza form one (Non-stop) aende mpaka form five, alafu anajiunga na chuo?

    Baba elimu ya secondary sio kama unavyofikiria ndio wanavyofanya ila sema sasa wanaamua kwamba ukifika form four unapumzika ndio wanapunguza Idadi ya masomo wewe wewe kaka bora ungesema wafute at least form five na six iwage chuo at least japo nayo sikubaliani nayo 😂😂😂
  11. EXODUS ZION

    Gamondi ameondolewa kutokana na sababu muhimu, matokeo ya uwanjani ilikuwa ni nyongeza tu ya kumnyoa!

    Hiyo million mbili atawatumia wa mpesa ya kina messi 😂😂😂
  12. EXODUS ZION

    Nichukue wasaa huu kuwapongeza Mwanza city council jinsi wanavyofanya kazi

    Ndugu wadau habari za muda huu. Ukifika mwanza sekour tour wenyewe wanakuita seketule 😂 utakutana na Halmashauri ya jiji la mwanza wale jamaa kwa kweli wako vizuri sana. Wanafanya kazi ipasavyo sio kazi tu wanamshikamano, wananguvu, wachapakazi ani kila kitengo pale wako vizuri sana hasa...
  13. EXODUS ZION

    Nipo kwenye mahusiano ila mwanaume wangu ana kipato kidogo. Naombeni ushauri nifanyaje?

    Kilichokufanya uwe kwenye hayo mahusiano ndio focus na hicho hicho
Back
Top Bottom