u hali gan mtanzania
mwenzangu..napenda
kutanguliza shukran kwa wewe
kufungua thread hii ambayo
lengo lake ni kukwambia
kilichonisibu na wewe kunipa
ushauri au msaada husika na
cyo vinginevyo.me ni kijana wa
kiume 23yrs..nina elim ya
chuo,nilikuja dar kufatilia nafas
ya kaz katika...
u hali gan mtanzania
mwenzangu..napenda
kutanguliza shukran kwa wewe
kufungua thread hii ambayo
lengo lake ni kukwambia
kilichonisibu na wewe kunipa
ushauri au msaada husika na
cyo vinginevyo.me ni kijana wa
kiume 23yrs..nina elim ya
chuo,nilikuja dar kufatilia nafas
ya kaz katika...
.nimedhamiria
kufanya kaz yoyote na
popote
patakapopatikana.nakuomba
dada ,kaka,baba,mama
uishiye
dar.kama una kaz yoyote
wawezanipatia,niko
tayar,hata kaz ya nyumbani
ntaimudu coz ni mchapa
kaz,mwaminifu na mpish
mzuri
sana.
.nimedhamiria
kufanya kaz yoyote na
popote
patakapopatikana.nakuomba
dada ,kaka,baba,mama
uishiye
dar.kama una kaz yoyote
wawezanipatia,niko
tayar,hata kaz ya nyumbani
ntaimudu coz ni mchapa
kaz,mwaminifu na mpish
mzuri
sana.
mim ni mtoto wa kiume,kurud nyumban cjaweka kama wazo la kwanza,cuz natafuta maisha so naweza fanikisha hata nikiwa huku.cjavunjika moyo,naamin ni changamoto 2 katka maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.