Maneno kama haya ndo chanzo Cha chuku dhidi ya watawala. Kunahaja ya viongozi kufunzwa jinsi ya kuongea na sio kuongea na uma wa lika mbalimbali kwa lugha za gen z au za watu wa baby boomers, millennials. Unatakiwa kubalance lugha yako kuendana na audience na ujumbe unataka kufikisha bila kuwa...
Mwambie Bwana Nguru kuwa tuna hitaji sana nguvu zake hapa Tz. Aaeche kujificha Helsinki, Turk. Pori Kuopio au Lappeenranta. Aje hapa viwanja vya mnazi aonyeshe mfano
Mtaongea Kila aina ya neno, mtawasifia kili wanaokosoa raisi na kimkejeli mgombea wa ccm. Lakini kaani mkijua Leo tarehe 17 na siku zinaenda soon atakula kiapo na ndio mwisho kelele mitandaoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.