Kiswahili asili yake ni Lamu ila mimi sijui Lamu ipo nchi gani, nadhani ipo Tanzania, halafu kuhusu UN kuhama, kizuri cha jiuza Kenya ipo vizuri kidemokrasia na kiuchumi, sisi tulie tu
Wewe dada Mungu anakuona, wenzio KGB na sasa FSB Kwanza wanaaminishwa kutokuwepo kwa Mungu halafu wanakua morally bankrupt na wanakua huru kufanya uongo na uovu wa aina yoyote ile. We haya we wengine bado tunaaminishwa uwepo wa Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.