Naona CCM na vibaraka wake wanaingia kwa thread mbali mbali ili kupotezea uzi wa Mh Lema , Mara Kitila Mkumbo amekuja na Sifa za mgombea urais , mara mtoto wa Chcha Wangwe apigwa vita Cdm ,.huu ujumbe wa Mh Lema ni hekima kwa wanaomuogopa Mungu
usalama wa Taifa waliposhindwa kulinda Nchi na badala yake kuitafuta Chadema hapo ndipo Taifa lilipo angamia na uhalifu kuongozeka ? iko wapi Geneva ya Africa ?
Wananchi wa Arusha wamefundishwa ujasiri na salsa wako tayari kudai haki yao kwa nguvu bila woga. Hawana haja ya mkopo kwani wanapambana wenyewe. Mbunge wangu Lema ninakuamini.
Hakika Mh Lema umeonyesha uzalendo wa kweli kwa Taifa lako kwa kujikita katika mambo ya msingi na kupuuzia habari za posho kama wabunge wa ccm wanavyolipa kipaumbele swala hili la posho. Keep it up bro! Maana hata ukikaa nyumbani tu naamini mkeo anaweza kukupa home allowance ya zaidi ya hiyo...
Hakika wangetokea watu jasiri 100 kama Mh Lema katika Taifa hili basi kwa hakika tungeipata Tanzania yenye neema. Keep it up bro! Tuko nyuma yako kamanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.